Ushauri unahitajika: Mabati ya plastic

Ushauri unahitajika: Mabati ya plastic

Wachina wameleta mapinduzi ya uezekaji kwa aina mpya ya bati za plastic na sifa kedekede kama kupoza nyumba, kurecycle yakichakaa, uimara, kutovuja kupitia misumari, bei ndogo, kutunza hewa safi na kutokuwa na kutu. Warranty ya miaka 30.

Tena wanatengenezea hapa nchini, hili jukwaa limesheheni wataalam. Anayejua uhalisia wa ubora na uimara naomba msaada wake. Kwa lugha tu ni mabati yanayoshawishi kutumia.

View attachment 1767807



Vipi yakishika moto yana nafuu yoyote kulinganisha na haya mengine tuliyo yazoea?
 
Mbona yako kitambo si yale meupe translucency yanaitwa sema now yameleta rang nying nying
Ngoja ntaangalia kwenye godown moja niliyaona hayo mabati ya plastiki miaka hiyo.

Yalikuwa yamewekwa mbalimbali, kwa ajili ya kuruhusu mwanga ndani ya godown!
 
Tupen muongozo Yanafaa kutumika peke yake nyumba nzima
 
Siyo plastic zote ni combustible kuna zingine hata umwagie petrol hazi support moto petrol ikiisha na moto unazima. Na hizi pia zitakuwa na tabia hiyo
ZINA PATIKANA WAPII?
 
Huu uzi tumetelekeza ila una manufaa ukilinganisha na bei ya bati ya sasa
 
Wachina wameleta mapinduzi ya uezekaji kwa aina mpya ya bati za plastic na sifa kedekede kama kupoza nyumba, kurecycle yakichakaa, uimara, kutovuja kupitia misumari, bei ndogo, kutunza hewa safi na kutokuwa na kutu. Warranty ya miaka 30.

Tena wanatengenezea hapa nchini, hili jukwaa limesheheni wataalam. Anayejua uhalisia wa ubora na uimara naomba msaada wake. Kwa lugha tu ni mabati yanayoshawishi kutumia.

View attachment 1767807
Mkuu ndo hayo kwenye picha au tungoje picha yake...???
 
Hizo bati z plastic ni gharama sana sio hizo bei mnazosema eti elfu 9000 uongo huo ni zaidi ya 35000
35000? My friend nimenunua juzi, hapo Buguruni kuna kiwanda, 60,000... yana bei balaa.. Mimi nimetumia kwa ajili ya kuezekea ka kibanda ka nje ka kupumzikia wanaita pergola! Ila nusu nighaili bei yake mweeeh
Tazama screenshot iyo
Screenshot_20231121_133325_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom