Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Miaka Ya Zamani Sana Yametumika Sanakwenye makanisha hasa wakatoliki yanawekwa juu ya altare yana mwanga mzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka Ya Zamani Sana Yametumika Sanakwenye makanisha hasa wakatoliki yanawekwa juu ya altare yana mwanga mzuri
Miaka Ya Zamani Sana Yametumika Sana
Wachina wameleta mapinduzi ya uezekaji kwa aina mpya ya bati za plastic na sifa kedekede kama kupoza nyumba, kurecycle yakichakaa, uimara, kutovuja kupitia misumari, bei ndogo, kutunza hewa safi na kutokuwa na kutu. Warranty ya miaka 30.
Tena wanatengenezea hapa nchini, hili jukwaa limesheheni wataalam. Anayejua uhalisia wa ubora na uimara naomba msaada wake. Kwa lugha tu ni mabati yanayoshawishi kutumia.
View attachment 1767807
Ngoja ntaangalia kwenye godown moja niliyaona hayo mabati ya plastiki miaka hiyo.Mbona yako kitambo si yale meupe translucency yanaitwa sema now yameleta rang nying nying
Material yake ni UPVCMoto je? Ikitokea ajali ya moto plastic ikashika c ni balaa jingine kama irone done inavoshambulia Hamas.
ZINA PATIKANA WAPII?Siyo plastic zote ni combustible kuna zingine hata umwagie petrol hazi support moto petrol ikiisha na moto unazima. Na hizi pia zitakuwa na tabia hiyo
Mkuu hata haya mengine moto ukishika hutayatamani afadhali hayo.Moto je? Ikitokea ajali ya moto plastic ikashika c ni balaa jingine kama irone done inavoshambulia Hamas.
Mkuu ndo hayo kwenye picha au tungoje picha yake...???Wachina wameleta mapinduzi ya uezekaji kwa aina mpya ya bati za plastic na sifa kedekede kama kupoza nyumba, kurecycle yakichakaa, uimara, kutovuja kupitia misumari, bei ndogo, kutunza hewa safi na kutokuwa na kutu. Warranty ya miaka 30.
Tena wanatengenezea hapa nchini, hili jukwaa limesheheni wataalam. Anayejua uhalisia wa ubora na uimara naomba msaada wake. Kwa lugha tu ni mabati yanayoshawishi kutumia.
View attachment 1767807
Hizo bati z plastic ni gharama sana sio hizo bei mnazosema eti elfu 9000 uongo huo ni zaidi ya 35000Naufufua huu uzi.
35000? My friend nimenunua juzi, hapo Buguruni kuna kiwanda, 60,000... yana bei balaa.. Mimi nimetumia kwa ajili ya kuezekea ka kibanda ka nje ka kupumzikia wanaita pergola! Ila nusu nighaili bei yake mweeehHizo bati z plastic ni gharama sana sio hizo bei mnazosema eti elfu 9000 uongo huo ni zaidi ya 35000
Yanajoto mnooo hayafai kwa pergola35000? My friend nimenunua juzi, hapo Buguruni kuna kiwanda, 60,000... yana bei balaa.. Mimi nimetumia kwa ajili ya kuezekea ka kibanda ka nje ka kupumzikia wanaita pergola! Ila nusu nighaili bei yake mweeeh
Tazama screenshot iyo
View attachment 2820667