Ushauri unahitajika

Ushauri unahitajika

The Butcher

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2015
Posts
348
Reaction score
491
Habari za jioni wakuu. Natumaini mmeitumikia vizuri wiki hii na sasa tubaelekea wikiendi..

Nina ndugu yangu tumelelewa wote tangu watoto na sasa tumekua na kujitegemea kabisa lakini ndugu yangu huyu mpka sasa bado anasumbuliwa na tatizo la Kujikojolea kitandani hivi sasa ana umri 25+ mimi kama ndugu kumuambia nahisi kama ntamshushia heshima lakini the best way i can do ni kumsaidia kulitatua maana its almost 20 years tatizo halijamtoka.

Kwa mnaofahamu ni vipi tunawezamsaidia tatizo hili likaisha kabisa??
 
Ni ma tatizo ya mfumo wa fahamu, muone neurologist atawasaidia
 
Back
Top Bottom