The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Nampango wa kuanzisha utengenezaji na uuzaji wa chakula cha ngombe ( hay) ,naomba ushauri nitapata wapi au ntaagiza wap hay harvester
- ya kutosha kuvuna walau ekari kumi kwa siku( kubwa )
- yenye kukata nyasi,kuziminya katika umbo la hay na kupaki
- liwe ambalo iwapo litaharibika mafundi na spea ni vinapatikana nchini
- ya kutosha kuvuna walau ekari kumi kwa siku( kubwa )
- yenye kukata nyasi,kuziminya katika umbo la hay na kupaki
- liwe ambalo iwapo litaharibika mafundi na spea ni vinapatikana nchini