USHAURI USIPOFUATWA: Simba 0- Al Ahly 2 Jumamosi ya leo tunawasubiri waje Tulipize.

USHAURI USIPOFUATWA: Simba 0- Al Ahly 2 Jumamosi ya leo tunawasubiri waje Tulipize.

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Game ipo tight sana nmeicheck hapa kama Simba ambayo ni Team ya Taifa ya Tanzania haitakaza tunapigwa bao 2 bila. Halafu tunarudi kuja jipanga.

Nashauri wachezaji wasiingie vyumba vya kubadilishia nguo,wasitumie bus walilopewa na Wana Misri hao. Hapo wataweza washinda. Pia kwa wale ambao kitimoto haiwazuri wapake kwenye miguu yao kidogo tu yale mafuta. Game watashinda fair and square.

Bila kufuata huo ushauri wanapigwa bao 2 kwa sifuri.
 
Aussems tayari ameonyesha wasiwasi
kabla ya mchezo huo kwani alisema
kwamba: “Niwe mkweli. Sidhani kama
tunaweza kupata pointi kutoka kwa Al
Ahly. Mkazo wetu ni kukusanya pointi
nyumbani.
“Huwa sipendelei ndoto. Hatuwezi kupata
pointi hapa dhidi ya Al Ahly kwa sababu
watapata penalti, mchezaji wetu mmoja
ataonyeshwa kadi nyekundu na pia
watapewa bao la kuotea,” alisema
Aussems saa chache kabla ya mchezo.




Kocha Anaweweseka Sembuse Nyie Mashabiki.
 
Timu ya taifa gani.
Natabir mnyama anakufa 3 :0 na red card moja.

[emoji375][emoji375]
 
al ahly ukiwagusa tu unakula red card. iwe home au away... hiyo ndio timu ya caf...

hao kama barcelona ya pep guardiola.. mpira wanaujua na kubebwa wanabebwa
 
Hata ameyaongea akiwa nyumbani kwako?

Aussems tayari ameonyesha wasiwasi
kabla ya mchezo huo kwani alisema
kwamba: “Niwe mkweli. Sidhani kama
tunaweza kupata pointi kutoka kwa Al
Ahly. Mkazo wetu ni kukusanya pointi
nyumbani.
“Huwa sipendelei ndoto. Hatuwezi kupata
pointi hapa dhidi ya Al Ahly kwa sababu
watapata penalti, mchezaji wetu mmoja
ataonyeshwa kadi nyekundu na pia
watapewa bao la kuotea,” alisema
Aussems saa chache kabla ya mchezo.




Kocha Anaweweseka Sembuse Nyie Mashabiki.
 
Hakuna mwenye uwezo wa kuifuta Yanga kweli. Mana mashabiki mpaka wachezaji chenga tu
 
al ahly ukiwagusa tu unakula red card. iwe home au away... hiyo ndio timu ya caf...

hao kama barcelona ya pep guardiola.. mpira wanaujua na kubebwa wanabebwa
Muhimu Simba wacheze kwa umakini mkubwa.
 
Nashauri wachezaji wasiingie vyumba vya kubadilishia nguo,wasitumie bus walilopewa na Wana Misri hao. Hapo wataweza washinda. Pia kwa wale ambao kitimoto haiwazuri wapake kwenye miguu yao kidogo tu yale mafuta. Game watashinda fair and square.

Bila kufuata huo ushauri wanapigwa bao 2 kwa sifuri.
Mkuu huu ndio unaitwa ulozi?
 
Kama Juuko hajaandaliwa kisaikolojia aache ubabe atalamba kadi mapema. Hakuna mchezaji anaweza kukupa pressure kama Juuko kwa rafu zake. Kama mtu amepita bora kumuacha akabwe na mwingine kuliko kutaka aishie kwako kwa gharama yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom