Ushauri: Usiwalishe watoto tembele kila siku na kutokuwanunulia nguo mpya kisa unajenga.

Ushauri: Usiwalishe watoto tembele kila siku na kutokuwanunulia nguo mpya kisa unajenga.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Huu ni ushauri kwa mzazi/wazazi.

Ukitaka kujenga au kufungua biashara katu usibadili mfumo wa maisha wa wanao kwa kuwanyima baadhi ya huruma au vitu walivyokuwa wanavitarajia kutoka kwako mzazi.

Mioyo yao ikiumia hutafanikiwa kumaliza ujenzi, na ukimaliza hiyo nyumba itakosa baraka. Wataichorachora na ukifa wataiuza haraka. Biashara unayoitunzia fedha kwa kuwanyima watoto chakula bora itafilisika.

Kama huna hela ya kutosha kufanya mambo mawili basi acha no. 2 rudi no. 1 (kuwapa direct needs wanao).

Hii ndio kanuni ya ulimwengu, watoto wakifurahi mambo mengine yatajipa simply.
 
Huu ni ushauri kwa mzazi/wazazi.
Ukitaka kujenga au kufungua biashara katu usibadili mfumo wa maisha wa wanao kwa kuwanyima baadhi ya huruma au vitu walivyokuwa wanavitarajia kutoka kwako mzazi.
Mioyo yao ikiumia hutafanikiwa kumaliza ujenzi, na ukimaliza hiyo nyumba itakosa baraka. Wataichorachora na ukifa wataiuza haraka. Biashara unayoitunzia fedha kwa kuwanyima watoto chakula bora itafilisika.
Kama huna hela ya kutosha kufanya mambo mawili basi acha no. 2 rudi no. 1 (kuwapa direct needs wanao).
Hii ndio kanuni ya ulimwengu, watoto wakifurahi mambo mengine yatajipa simply.
Maisha unatakiwa kubalance usilalie upande mmoja mfano usijenge ghorofa la vyumba mia la kuishi as if watoto hawakui au hawawezi pata kazi mikoa mingine au nje ya nchi

Jenga nyumba ya kawaida au panga eneo.la bei rahisi ili uhakikishe watoto na familia wanakula vizuri na basic needs zinakuwa met hasa chakula kizuri

Nakubaliana na mleta mada huwezi lisha familia chakula kibaya kisa eti unajenga no no no kama ni mwanaume mkeo akiliwa na muuza chips jirani usipige yowe ohhh mke wangu unaliwa na muuza chips kweli kisa anakupa chips huwezi vumlia nimalize kujenga? ,Ili ule chips utakazo? Za KFC au wapi?
 
Mwanaume anatakiwe ajue hitaji la kwanza la familia ni chakula kizuri la pili ni pa kulala sio lazima liwe ghorofa mbezi beach yaweza kuwa nyumba ya kawaida ya kupanga uswahilini,hitaji la tatu kuu ni mavazi sio lazima classic yaweza kuwa mitumba mahitaji mengine kama Shule classic, ,nyumba classic, gari classic ni ya ziada baada ya kuhakikisha hizo basic nilizotaja zimekuwa met

Kusingizia ohhh hamuli vizuri Mimi najenga ghorofa mbezi beach ni ujinga kamwambie mama yako aliyekuzaaa shenzi Wewe
 
Inategemea na aina ya BABA! Baba mwenye BUSARA na WELEDI, atafanya MAENDELEO kwa ajili ya familia yake lakini wakati huo huo ataangalia na ustawi wa familia yake. Yaani maisha mengine lazima yataendelea.

Ila kwa yule BABA MKAIDI, MBISHI, MBABE, ASIYE SHAURIKA, JIWE, ASIYEJALI, MBINAFSI, MKATILI; atakomaa tu na kile anacho kiamini yeye. Watoto na mke wake wataishi MAISHA MAGUMU, kisa anafanya MAENDELEO.
 
Umekwenda mbaaali zaidi.
But Mimi simo huko
Inategemea na aina ya BABA! Baba mwenye BUSARA na WELEDI, atafanya MAENDELEO kwa ajili ya familia yake lakini wakati huo huo ataangalia na ustawi wa familia yake. Yaani maisha mengine lazima yataendelea.

Ila kwa yule BABA MKAIDI, MBISHI, MBABE, ASIYE SHAURIKA, JIWE, ASIYEJALI, MBINAFSI, MKATILI; atakomaa tu na kile anacho kiamini yeye. Watoto na mke wake wataishi MAISHA MAGUMU, kisa anafanya MAENDELEO.
 
Mara nying anayefanyaga hivyo basi yupo hivyo tuu,
Hata amalize kujenga hutaona mabadiliko, familia inakua na matumain Baba akimaliza kujenga mambo yatakaa Sawa, anamaliza holaaa...

Wapo ambao wanajenga lkn hakuna mabadiliko kwenye mfumo wa maisha.
 
Mara nying anayefanyaga hivyo basi yupo hivyo tuu,
Hata amalize kujenga hutaona mabadiliko, familia inakua na matumain Baba akimaliza kujenga mambo yatakaa Sawa, anamaliza holaaa...

Wapo ambao wanajenga lkn hakuna mabadiliko kwenye mfumo wa maisha.
Kumbe!!!!
 
Huu ni ushauri kwa mzazi/wazazi.

Ukitaka kujenga au kufungua biashara katu usibadili mfumo wa maisha wa wanao kwa kuwanyima baadhi ya huruma au vitu walivyokuwa wanavitarajia kutoka kwako mzazi.

Mioyo yao ikiumia hutafanikiwa kumaliza ujenzi, na ukimaliza hiyo nyumba itakosa baraka. Wataichorachora na ukifa wataiuza haraka. Biashara unayoitunzia fedha kwa kuwanyima watoto chakula bora itafilisika.

Kama huna hela ya kutosha kufanya mambo mawili basi acha no. 2 rudi no. 1 (kuwapa direct needs wanao).

Hii ndio kanuni ya ulimwengu, watoto wakifurahi mambo mengine yatajipa simply.
tusipangiane shubaaaamiti...
 
Mara nying anayefanyaga hivyo basi yupo hivyo tuu,
Hata amalize kujenga hutaona mabadiliko, familia inakua na matumain Baba akimaliza kujenga mambo yatakaa Sawa, anamaliza holaaa...

Wapo ambao wanajenga lkn hakuna mabadiliko kwenye mfumo wa maisha.
Uko sahihi mnajibana familia mnakondeana na mama anakondeana akimaliza anaona mama kakondeana anaenda kwa Asha Ngedere mwenye wowowo uswahilini ambaye anaishi chumba hakina umeme wala maji ila kanenepeana kwa lishe bora pamoja na kuwa hata godoro hana analala chini kwenye mkeka uliochakaa!!! Ila anakula tu vizuri na kuvaa mitumba mizuri Mzee unakuta anamwambia Asha Ngedere kuwa mkewe mchafu hajipendi na hajui kupika !!!! Kakondeana wakatti anaacha pesa kibao!!!! Kumbe mwongo mkewe alikuwa na wowowo kuliko Asha Ngedere ila akasema tujibane tujenge ghorofa!!!! Ghorofa limeisha mwanaume huyo katoroka kaenda
Kwa Asha Ngedere !!!!!
 
Mwanaume anatakiwe ajue hitaji la kwanza la familia ni chakula kizuri la pili ni pa kulala sio lazima liwe ghorofa mbezi beach yaweza kuwa nyumba ya kawaida ya kupanga uswahilini,hitaji la tau kuu ni mavazi sio lazima classic yaweza kuwa mitumba mahitaji mengine kama Shule classic, ,nyumba classic, gari classic ni ya ziada baada ya kuhakikisha hizo basic nilizotaja zimekuwa met

Kusingizia ohhh hamuli vizuri Mimi najenga ghorofa mbezi beach ni ujinga kamwambie mama yako aliyekuzaaa shenzi Wewe
ndio maana watoto wa kike sikuhizi hawataki kuhangaika na mtu ambaye hajajipanga ili kuepuka kero za kulishwa dagaa na marage kama dozi
 
Back
Top Bottom