Mkuu nakushauri ungezunguka kwenye mashule na taasisi zenye uhitaji wa chalks ujitangaze na kujaribu kuwa win katika bei,otherwise inaonekana ni biashara ngumu kidogo,bora nguvu yako ungewekeza kwenye kilimo/chakula,maana hiyo ndio bidhaha yenye kuhitajika kila siku katika maisha yetu!