Nyamburi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 306
- 36
Wadau habari!nakuja tena jukwaani kuomba kupata ushauri juu ya biashara ya chaki(chalk),nilibahatika kupata kimasheni cha kutengenezea chaki kama zawadi toka kwa wadau fulani wa nchi ya magharibi!sasa bado sijajua hasa demand (mahitaji) ya soko la bidhaha hii liko vipi na ni wapi naweza kuanzia kimasoko angalau nami nianzi kujikwamua kiuchumi kutokana na uzalishaji wa chaki!nimeleta suala ili kwenu wadau kwa kua nina amini jamiiforums hakuna jambo ambalo utaliwakilisha na ukashindwa kutoka na mawazo chanya!Asanteni sana!