Ingawaje mimi sio mwanauchumi au chochote karibu na hapo ila nadhani ni busara zaidi kuihifadhi fedha yako kwenye mzunguko fulani wa biashara wenye uhakika. Au kama una fedha za kutosha unaweza ukawekeza kwenye kitu fulani cha muda mrefu mfano shamba la miti nk (economists mnisaidie kuweka baadhi ya mambo sawa hapo)