Mende mdudu
Senior Member
- Feb 13, 2023
- 111
- 223
Mimi ni mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera. Ndugu tu kaomba ushauri yupo darHuyo mtu ndio wewe hapo.
📌Atawanufaisha tu hao atakaowapa, labda angekuwa anafanya mwenyewe.
Saluni Kwa 1.5M? Toa mchangsnuao haitoshi iyo elaBora saluni
Inaweza tosha na kubakiSaluni Kwa 1.5M? Toa mchangsnuao haitoshi iyo ela
Labda huko dar lakin huku kwetu inatoshaSaluni Kwa 1.5M? Toa mchangsnuao haitoshi iyo ela
Data muhimuInaweza tosha na kubaki
Vioo viko.wapi hapo. Vitambaa etc. Afu TV gani 120.000/=? Umesahau king'amuzi etcLabda huko dar lakin huku kwetu inatosha
Mashine mbili 50,000
kIti kimoja 150,000
Sofa la watu watatu 200,000
rAdio 70,000
Tv 120,000
Feni 60,000
JEnereta 280,000
Kodi 300,000 miezi 6
hvyo ndo vitu vikubwa na bado hela ipo
Ukiwa inaanza biashara usipende complication , hata tv Haina umuhimu saloon unaweka kwa ajili ya washikaji na ulinbukeni tuVioo viko.wapi hapo. Vitambaa etc. Afu TV gani 120.000/=? Umesahau king'amuzi etc
kioo muhimu mkuuLabda huko dar lakin huku kwetu inatosha
Mashine mbili 50,000
kIti kimoja 150,000
Sofa la watu watatu 200,000
rAdio 70,000
Tv 120,000
Feni 60,000
JEnereta 280,000
Kodi 300,000 miezi 6
hvyo ndo vitu vikubwa na bado hela ipo
Kiti Cha kutengeneza Kwa ma welders haizidi 70k, viio 2 laki na 40, mashine mbili 50k, Kodi miezi 3, mengineyo ambayo nimesahau ongezea laki 2.5 . Aaah mkuu inatosha anaweka kinyozi na yy anabaki na mtaji wa kufanya ishu zingine. Au wewe unataka barbershop?Saluni Kwa 1.5M? Toa mchangsnuao haitoshi iyo ela