Wandugu,
Naombeni ushauri,nimehangaika sana mtaani na ajira mpaka imekuwa kero.
Sasa nimebahatika kupata ka usafiri yaani gari ndogo nimesohezewa na ndugu yangu ili nitafutie biashara ya kufanyia.
Sasa naumiza kichwa ni biashara gani naweza kusambaza kwa kutumia hiyo gari ndogo aina ya mark 2 na angalau nikaokoteza?
Nina ka mtaji ka laki mbili tu,ndugu zangu tusaidiane hata ushauri mambo yamekuwa magumu sana.
Nitashukuru sana.
Naombeni ushauri,nimehangaika sana mtaani na ajira mpaka imekuwa kero.
Sasa nimebahatika kupata ka usafiri yaani gari ndogo nimesohezewa na ndugu yangu ili nitafutie biashara ya kufanyia.
Sasa naumiza kichwa ni biashara gani naweza kusambaza kwa kutumia hiyo gari ndogo aina ya mark 2 na angalau nikaokoteza?
Nina ka mtaji ka laki mbili tu,ndugu zangu tusaidiane hata ushauri mambo yamekuwa magumu sana.
Nitashukuru sana.