Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Ila diamond naye mbona kama anafuata nyayo za baba ake. Mara ya mwisho kaenda kuona wanae lini. Anayomfanyia baba ake leo akifanyiwa yeye kesho atasemaje.
Kwa hili siwez mtetea unless na yeye angekua baba bora sio bora baba.
 
Umefikiria iwapo Diamond angekuwa maskini, huyo mzee angemjali mwanae?

Hata sasa sijui kama anamjali au hamjali. Ninachoona mimi hakuna faida yeyote kwa Diamond akimwacha mzee aendelee kuhangaika. Ila ipo faida kubwa akimsaidia.
 
Baada ya Paul Ince kupata mafanikio katika soka, siku moja akiwa mazoezini alitokea Mzee Mmoja akidai yeye ndiye Baba halisi wa Paul,

Kilichotokea baada ya hapo,ni habari nyingine.


Sikiliza kibao cha Q chief (Q chilla) "ulinizaa wewe ukanikataa ",ndiyo utajua wanaume wengi tunakosea wapi kwenye mahusiano yetu.
 
Family squabbles are non of your business

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo mpuuzi sana, yeye anajua ndio ujanja. Muache tu, siku hazigandi namuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond ana laaana kubwa, hata yule mama yake nadhani naye ni shithole yaaani rubbish.

Kijana mdogo kama Diamond unashindwaje kumsaidia baba yako ingali unajitapa unasaidia watu??. Yaani hata kama baba alikuumiza kwa kusikiliza masimulizi ya mama yako..bado baba atabaki kuwa baba yako hadi kifo. Dogo tahira sana yule, uhonge mademu umsahau baba yako eti alifanya nini sijui utotoni......... Diamond amepata pesa akiwa tahira sana na anaendelea kuwa tahira......hayo mashetani yake yatakapo mtoka tu atamtafuta baba yake. Pesa maua, anashindwa nini kumsaidia baba yake hata kinafki tu........, mzee hatakufa njaa yule ila laana kijana anayo mgongoni anatembea nayo
 
I ain't seen/heard no squabble. I have only seen a desperate father asking for forgiveness from his son.
All the same.....in simple words.....private family matters are to be kept private and let the family sort out their affairs in private. Mzee kulalamika kwenye media nadhani hatumii the right forum. Sense kwa wana ukoo etc....! I once read somewhere " life is about choices, and every choice has consequences. Make your choices and accept the consequences "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sasa!!!asingekua staa angemtafuta???

Au ndo mtoto mjinga wa mama...mtoto mwerevu wa baba!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema tu hawa angekua teja angemtafuta?!!!huyo mzee aache unaafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mzee angetokoroka na mtoto??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sentensi ni moja tu, dingi ni dingi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ni raha namna gani unaliona dingi lako limevaa kinyamwezi limependeza linakula matunda ya kiuno chake.

Nadhani ushirikina unamsumbua Diamond ndiyo maana aliweza kumnunulia gari Muidini Ngurumo na kumuacha baba yake anadhalilika kuomba chai kwa majirani.

Navyofahamu laana itatembea na baadhi ya watoto wa kiume kwenye uzao wa diamond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora mzazi akukimbie au awatelekez mkiwa hamna akili timamu... Baba anawatelekeza mkiwa mnaona kabisa na mnajua hapa tumetelekzwa.. Huwa inakuwa ngumu sana kumuelewa mzazi wa aina hyo... Diamond ni kijana wa kiume baba alipowatelekeza yy atakua alichukua nafsi kubwa sana kuhakikisha mamb yanaend sawa nyimbn mpka kauza mitumba na mkumbke inasemkanaga diamond form four alifaulu lakin hakufanikiwa kuendelea kwa kukosa ada.. Kisaikolojia inaathir sana... haijalishi aliyewatelekeza anaish vzr au la.. Kama hamna taarifa nae yyte.. Nyie mtakuw mnafikiria tu mzee yupo huko anakula bata....! MIMI NI MUHANGA NINAJUA DIAMOND ANAVYO FEEL KWA MZEE WAKE....! Honestly nimekuja kumsamehe mzee dakika za mwisho kabla hajafariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…