Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

MALI ZA KIDUNIA HAPA ZINA SIRI NYINGI SANA KWA WALIOZIPATA KIHALALI NA KWA MASHARTI YA NGUVU ZA GIZA CHIFU.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi Diamond anavyoishi na mama yake ni ngumu sana kumsamehe huyo baba yake. Pia ni ngumu sana kuoa. Tatizo sio Diamond ni mama yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nifunge mjadala wangu mimi na wewe kwa kusema U KNOW NOTHING.
 
MWANAUME RIJALI HAWEZI KAMWE KUINGILIA MAAMUZI YA UGOMVI WA WAZAZI WAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwa akili zako unaelewa uwanaume ni nini? Je ni kutokulia mzazi wako akifa? Je ni kutokulia unapokatwa panga? Je ni kuishi bila kula siku nzima?
Kama majibu yako yatakuwa tofauti acha kunijibu utadhihirisha ufinyu wako wa kufikiri
 
umeandika kwa herufi kubwa sana nikadhani una point kumbe pointless, ni wapi nimesema diamond alilishwa sumu ya maneno? Au unauelewa mdogo wa kusoma vitu na kuvielewa? Pole sana aisee
 
Safi sana, pia baraka huwa haiji kwa kujitangaza kwenye media ulivyosaidia watu bali hubakia kuwa siri yako mwenyewe na Muumba wako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana Chifu, shauri hili likata mauno basi na lenyewe liweze kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACHA UTAIRA WEWE, WEWE MWENYEWE NI MALAIKA HUWAKOSEI WATU?

WAMEKUSAMEHE MARA NGAPI AFU WEWE NDIWE UJIFANYE UMEKAMILIKA KTK KILA IDARA YA TABIA NJEMA?

Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh umeanza kunitukana tena ndugu ... niliacha muda mrefu kutokukujibu kwa kuwa nilijua tu kwamba aina ya uandishi wako ina muwakilisha mtu mwenye shari ... lakini bado tu ukaona haitoshi now umeanza kunitusi hadharani kabisaa ... Aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UMENENA VYEMA SANA CHIFU.

NILIJIULIZA MASWALI MENGI SANA ULE WIMBO WA DIAMOND "AFRICAN BEUTY" ALIOMSHIRIKISHA MDADA ANAYECHEZA UCHI WA MNYAMA, HIVI ULE WIMBO ANAUANGALIAGA NDANI MWAO NA MAMA YAKE MZAZI NA AKASAPOTIWA NA MZAZI WAKE HUYO WA KIKE BILA YA KUKANYWA CHOCHOTE KIMAADILI.

HATIMAYE NIMEGUNDUA FREEMASONS ARE AT THEIR WORKS.

SO SAD SANA CHIFU.
Kwa jinsi Diamond anavyoishi na mama yake ni ngumu sana kumsamehe huyo baba yake. Pia ni ngumu sana kuoa. Tatizo sio Diamond ni mama yake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWA AKILI ZAKO UNADHANI TUNGEKUWA TUNAHUKUMIWA KWA KILA KOSA TUNALOLITENDA HAPA DUNIANI, NI BINADAMU YUPI ANGEENDELEA KUISHI KTK SAYARI HII?


SAMEHE SANA BILA KUJIHESABIA HAKI ILI UWE NA AMANI ROHONI CHIFU MAANA HATA NAWE HUJAKAMILIKA KAMA MALAIKA.
Wewe kwa akili zako unaelewa uwanaume ni nini? Je ni kutokulia mzazi wako akifa? Je ni kutokulia unapokatwa panga? Je ni kuishi bila kula siku nzima?
Kama majibu yako yatakuwa tofauti acha kunijibu utadhihirisha ufinyu wako wa kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeandika kwa herufi kubwa sana nikadhani una point kumbe pointless, ni wapi nimesema diamond alilishwa sumu ya maneno? Au unauelewa mdogo wa kusoma vitu na kuvielewa? Pole sana aisee
ACHA UZWAZWA MI NIMETOKA NNJE YA BOXI KIFIKRA SI KAMA WEWE ULIYEKARIRISHWA NA UTETEZI UCHWARA WA DIAMOND KUHUSU KUTELEKEZWA NA BABA YAKE MZAZI.

MARA NGAPI TUNASHUHUDIA AKINA MAMA WAKIPANDIKIZA SUMU ZA CHUKI KWA WATOTO WAO DHIDI YA BABA ZAO WAZAZI KTK JAMII?

SASA IJE KUWA NONGWA KWA MAMA YAKE DIAMOND NAKATI NAYE NI SAWA NA WANAWAKE HAWA HAWA WANAOTUZUNGUKA KTK JAMII?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWANI TAIRA ANAKUWAGA NI MBUZI?

KAA PEMBENI KAMA UNA MAHABA NA DIAMOND WAKO LKN KIUKWELI DOGO NI ZAIDI YA SHETANI KWA UWAKALA WAKE WA KIFREEMASONS.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…