Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Hata sasa sijui kama anamjali au hamjali. Ninachoona mimi hakuna faida yeyote kwa Diamond akimwacha mzee aendelee kuhangaika. Ila ipo faida kubwa akimsaidia.
Mtoto siyo kitegauchumi na mzazi ni mlezi.
Hayo mengine tunayaona sisi kwa upande wetu na siyo upande wake. Mzee akubali maisha na ajitahidi kujiendeleza, hizo siyo fedha zake na akubali matokeo kwa roho safi. Kuna watu wanalea watoto kwa maisha yao yote kutokana na ulemavu wa watoto wao au sababu nyingine mbalimbali bado wanamshukuru mungu.
 
Hata kama siendi kanisani wala msikitini siwezi kuunga mkono kitendo kama hiki yaani baba yako mzazi hana hata hela ya matibabu anabangaiza halafu ww unagawa bima bure kwenye show za birthdays sijuw kwa watu pori kutafuta sifa kama si laana ni nn?
Ww ugomvi wa baba yako na mama yako ww unakuwasha nn?
Tupo tulotelekezwa had na mama wazazi lakn inapofikia habar ya mzaz ni mzaz hayo yote tunatupilia mbal maana tunajua nenda uendako sikio halitokuja kuzidi kichwa!!!hatuombei ila likitokea la kutokea utashangaa watu wanaongozana na maspika na makamera for show off!!!!!!! Watu had kuchomwa na majimoto tumechomwa lkn kwa wazaz hewala tunafurahia uwepo wao maana huwezi kubadilisha k2 hapo maana wazaz si marafiki useme utabadilisha!!!!!
Yaan inauma sana mzee wako hali yake ni kama vile halafu uko busy kujirekodi video ukihesabu mapesa na malaya zako yaan alokuloga nahisi alishakufa!!!!!!
Mkuu kwann ww usimsaidie Mzee Abdul ,? Kama mtz mwenzako ?
 
Ila diamond naye mbona kama anafuata nyayo za baba ake. Mara ya mwisho kaenda kuona wanae lini. Anayomfanyia baba ake leo akifanyiwa yeye kesho atasemaje.
Kwa hili siwez mtetea unless na yeye angekua baba bora sio bora baba.
Huwezi kujua labda anatuma pesa Kwa mzazi mwenzake
 
ACHA UPUMBAVU WEWE, WAZAZI WAKE WALIPOKUWA WANAGONBANA DIAMOND ALIKUWEPO?

DIAMOND ANAJUA CHANZO CHA YEYE KUTELEKEZWA NI KIPI HASA NYUMA YA PAZIA?

UNA UHAKIKA GANI KAMA MAMA YAKE MZAZI ALIMPANDIKIZA CHUKI MWANAYE KUWA MAMA YAKE NI MALAIKA HAKUWA NA HATIA YOYOTE KTK KUTENGANA KWAO?

HUJUI SIKU ZOTE MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE NA NDIYO SABABU MUHIMU HASA YA MAMA YAKE DIAMOND KUJITETEA KUWA HAKUWA CHANZO CHA MAFARAKANO YAO NA LABDA ALIAMUA AMPANDIKIZE DIAMOND CHUKI DHIDI YA BABA YAKE MZAZI?
Hujajua maumivu ya kukataliwa na mzazi wewe tena hilo neno la kumdharau futa.
Ni maumivu yasiyoelezeka wewe unazungumza tu kwa sababu ulipata malezi ya wazzi wote.

Kupewa pesa si tatizo yule mzee pesa anapata, tatizo ni msamaha ni kitu kigumu sana mwanadamu kukitoa, haihitaji media ili kupata msamaha anahitaji wasuluhishi shauri yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujajua maumivu ya kukataliwa na mzazi wewe tena hilo neno la kumdharau futa.
Ni maumivu yasiyoelezeka wewe unazungumza tu kwa sababu ulipata malezi ya wazzi wote.

Kupewa pesa si tatizo yule mzee pesa anapata, tatizo ni msamaha ni kitu kigumu sana mwanadamu kukitoa, haihitaji media ili kupata msamaha anahitaji wasuluhishi shauri yake.
MWANAUME RIJALI HAWEZI KAMWE KUINGILIA MAAMUZI YA UGOMVI WA WAZAZI WAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujajua maumivu ya kukataliwa na mzazi wewe tena hilo neno la kumdharau futa.
Ni maumivu yasiyoelezeka wewe unazungumza tu kwa sababu ulipata malezi ya wazzi wote.

Kupewa pesa si tatizo yule mzee pesa anapata, tatizo ni msamaha ni kitu kigumu sana mwanadamu kukitoa, haihitaji media ili kupata msamaha anahitaji wasuluhishi shauri yake.
Diamond hakukataliwa na baba yake.. waliishi pamoja hadi kaanza shule.. kama angekataliwa aliwezaje kuishi pamoja na QUEEN DARLIN ambaye wamekutana kwa HUYO BABA YAO?? Nachukia sana mtu atoe mchango bila ya kufanya angalau kauchunguzi makini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamuonea tu Huyo diamond ..... (mimi huwa sivutiwi na Tabia zake chafu chafu) ambazo zimenifanya nisimpende kabisaa"

Lakini kama ni kweli baba yake Alimtelekeza alipo kuwa mdogo kwaajili ya mgogoro na mzazi mwenzie

Basi ana stahiki kupatwa na hicho kinacho mfika " kwa sababu mtoto hakuwa na makosa

Huwa tuna vuna tunacho kipanda' so suala la kumuona diamond kuwa hamtendei haki baba yake " wakati baba yake mwenyewe mbegu aliyoipanda ndio hiyo" ni wazi mtakuwa mnanuonea tu diamond"....., mlitaka mzee avune karanga baada ya kupanda kokoto .. !?

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUBWA HAKOSEI SIKU ZOTE HADI KUFA KWAKO.

BABA NI BABA NA HATAKUWA MTOTO NA NI YEYE PEKEE DUNIANI KOTE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So kama aliambiwa nakuondoka na hiyo suruali ndio amsuse mtoto wake ...hahaa dahh so sad"....... kwahiyo kinachotaka kumrejesha kwa mtoto sasa hivi ni nini " !?, zile hasira sasa hivi zimeisha !?, now ndio anatambua kuwa diamond ni mwanae !?

Umeshawahi jiuliza swali !?, kama diamond asingekuwa hivi alivyo leo baba yake angeendelea kumlilia lilia !?

Sent using Jamii Forums mobile app
KWANI SIKU HIZI WEWE NDIYE MSEMAJI MKUU WA BABA YAKE DIAMOND HADI ULISHAJUA ALICHOKUWA ANAKIWAZA ROHONI MWAKE WAKATI WOTE KABLA DIAMOND HAJAWA HIVYO?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simpendi diamond ... lakini kwakuwa katika maisha yangu nilichagua kuwa positive ... katika hili niko kwenye upande wake ....

Majuzi nilikuwa na bishana na watu kuhusu suala hili hili tweeter ", na hatimae walielewa tu "

Sent using Jamii Forums mobile app
WALIKUPOTEZEA SABABU WAKATI MWINGINE KUKAA KIMYA NAKO NI MOJAWAPO YA KUWA NA HEKIMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu cha thamani hapa chini ya jua kuliko kusamehe..inakuweka huru,inavunja maagano ya kishetani,inaleta heshima,inakupa hadhi mbele za Mungu na wanadamu.
Daudi aliwahi kuandika Ee bwana Kama usingelirehemu,ni nani angesimama mbele zako?lakini kwako kuna msamaha ili wewe uogopwe"
Binafsi sishindwi kusamehe kosa lolote lile hata la mtu nisiyemjua..napendaga sana kusamehe kwa sababu inanipa furaha na amani.
NB:simanishi kuwa huwa sikasiriki,ila siwezi kuishi na kisasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
HERI KUCHAGUA JINA JEMA, NA OLE WAKO UISHI NA VINYONGO UONE TUTAVYOKUSAHAU KWA SIKU CHACHE TU KWA KUJIZALISHIA MAGONJWA KIBAO MWILINI MWAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom