Ushauri wa Bure juu ya gari yako


Kweli JF is never boring
 
gearbox oil (si ndio hydraulic oil ....nisahihishwe kama nakosea) nimebadili the same day nilipodadili engine oil na filter mkuu. possible courses nyingine itakuwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umebadili gearbox oil hapo shida itakua kwenye vibati vya ku engage gia, vipi ukiweka kwenye L si inaanza kawaida na je gari ni nzito?
 
Gari langu inasumbua ukiwasha AC kwa muda mrefu ukiwa kwenye jam inakuwa inazima ghafla, pia muda mwingine huwa kama inatetemeka then unasikia kama kwenye gearbox inagonga. Msaada tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari yangu kila asubuh nikitaka kuiwasha switch inagoma kuxunguka kwenda kwenyr On. Hata nikitingisha usukani unajilock tu. Nikichezesha shana ndo inakubali kufika on na gari inawaka.baada ya hapo mchana kutwa haisumbui. Ikilala tu kesho asubuh inasumbua tena


Sent using Jamii Forums mobile app
 
switch inashida jaribu kubadilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwasha A/C kwenye gari baada ya muda kunakuwa na ukungu mwingi kwenye kioo cha mbele-windscreen mpaka nalazimika kutumia wiper. Je tatizo ni nini?
 
Mkuu kwanza asante kwa kujitolea muda wako kushare elimu yako na jamii. Gari yangu( corolla 5A ea100) kunamuda nikiweka switch on haswa engine ikiwa imepoa taa zote zinawaka katika dashboard na nikiwasha gari zinazima kama kawaida, ila nikishatembea nalo kidogo tu nikiweka tena switch on taa ya check engine haionekan katika dashboard na nikiwasha pia haionekani. Naomba ushauri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…