komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,361
Angalia plug au coilGari yàngu spacio nikikanyaga brake au ikiwa kwenye park au revise gear garinina vibrate tatizo ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hujui hata kubadili tairi ??..
Weka gari pembeni ya barabara penye usalama then weka jiwe kwenye tairi (kama pancha tairi ya mbele kulia basi jiwe weka tairi ya nyuma kushoto ) then chukua wheel spanner na jeki kwenye buti. Hiyo jeki iweke upande wa tairi ya pancha kumbuka kuiweka kwenye ule mzingo wa chasis pembeni kidogo ya tairi sio katikati ya gari.
Legeza kwanza nut za tairi zikilegea piga jeki gari iinuke mpaka tairi iweze zunguka then fungua nut toa tairi. Kama kuna maji karibu lowanisha kitambaa then futa kwanza bolt ukimaliza chukua spare tire iweke halafu funga ila usikaze kwanza.
Shusha jeki then kaza sasa nut za tairi mpaka unapoona yatosha, usikaze saana inaweza pelekea kuua tread zake!. Baada ya hapo upo huru kurudi barabarani.
NB: Kama ni hizi highway au sehemu zenye pilika inakubidi kabla hujaanza hizi mambo toa hazard light zako piga hatua moja toka kwenye gari then moja weka mbele nyingine nyuma, huna weka hata majani. Tairi za kulia zikipata pancha kumbuka kutoka sana nje ya barabara kuepuka gongwa ukiwa unabadili.
Mwaka huu muda wa expire ya tair ni kipindi kipi cha nyuma
Kama umebadili gearbox oil hapo shida itakua kwenye vibati vya ku engage gia, vipi ukiweka kwenye L si inaanza kawaida na je gari ni nzito?gearbox oil (si ndio hydraulic oil ....nisahihishwe kama nakosea) nimebadili the same day nilipodadili engine oil na filter mkuu. possible courses nyingine itakuwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
gari yangu escudo 1993 engine g16a tokea majuzi haipig starter nikipiga inalia "tap tap"
nikajua battery nikaja nikaboost lakin hivo hivo nimepark tokea majuzi natumia bodaboda..
Je inaweza ikawa ni starter
.???
Sent using Jamii Forums mobile app
switch inashida jaribu kubadilishaGari yangu kila asubuh nikitaka kuiwasha switch inagoma kuxunguka kwenda kwenyr On. Hata nikitingisha usukani unajilock tu. Nikichezesha shana ndo inakubali kufika on na gari inawaka.baada ya hapo mchana kutwa haisumbui. Ikilala tu kesho asubuh inasumbua tena
Sent using Jamii Forums mobile app