The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Nidhahili huyu kijana mwenzetu anatisha balaa ukizungumzia makamilifu yake unaweza vimba vidole kwa kutype ukianzia humble beggining,hustle ,unyenyekevu,uvumilivu wa dharau ,kupambana na wivu (bob junior) Kijana amejipanga sana .
Kiroho safi tena nikiwa silipwi namshauli haya
1. Wasafi label yake ya muziki sio familia ya kama ilivyo so so def ya mamtoni kaziyake ni
kuvumbua vipaji na kuvitumia kibiashara ili viiletee wasafi faida ikuwe
NB: Naheshimu maisha ya kiki ya mahusiano na hata mama chibu (shikamoo !) unajua kumtumia ni jambo zuri na linafanyika duniani kote ,wamarekani wanafatilia maisha ya kanye na kadashian kuliko hata muziki wa kanye its nomal kabisaaaa
2. Wasafi ni lazima iwe na mfumo ulio wazi wa namna gani inasajili wasanii bora sana na sio kuingia wasafi kulala na kufurahia makiki na masafari big NOOOOOO ,Pia wasafi lazima impemsanii malengo yanayopimika na kutolewa wasafi lisiwe jambo la utashi wa diamond bali kampuni yake ya wasafi (management) ....ndege wanaporuka kwa kundi huwa hawashikani mabawa mfano Mboso na lavalava wanastahili watolewe kwa sasa hawajakidhi viwango vya wasafi mpaka sasa wasanii wamaana ukimtoa mondi my favourite namuona mavoko na harmonise tuuu and i dont settle less
3. Wasafi ni biashara ambayo lengo lake ni faida sio kijiwe cha matozi wala marafiki waimbaji i say bro big nooo sasa mnakoelekea mtaajiri mpishi wa wasafi wekeni cost benefit analysisi kuna huduma ni ghali ukikodisha ,zingine zapaswa kuzifanya na waajiriwa zingine ku-out source ,ni vizuri kuwa na studio yenu ila ni kosa kuwa na producer wenu mnachhitaji mikono yote msijifunge.
Ni hayo tu ,kuna msanii lazima mtamtaja wakati mi sjamuongelea
Kiroho safi tena nikiwa silipwi namshauli haya
1. Wasafi label yake ya muziki sio familia ya kama ilivyo so so def ya mamtoni kaziyake ni
kuvumbua vipaji na kuvitumia kibiashara ili viiletee wasafi faida ikuwe
NB: Naheshimu maisha ya kiki ya mahusiano na hata mama chibu (shikamoo !) unajua kumtumia ni jambo zuri na linafanyika duniani kote ,wamarekani wanafatilia maisha ya kanye na kadashian kuliko hata muziki wa kanye its nomal kabisaaaa
2. Wasafi ni lazima iwe na mfumo ulio wazi wa namna gani inasajili wasanii bora sana na sio kuingia wasafi kulala na kufurahia makiki na masafari big NOOOOOO ,Pia wasafi lazima impemsanii malengo yanayopimika na kutolewa wasafi lisiwe jambo la utashi wa diamond bali kampuni yake ya wasafi (management) ....ndege wanaporuka kwa kundi huwa hawashikani mabawa mfano Mboso na lavalava wanastahili watolewe kwa sasa hawajakidhi viwango vya wasafi mpaka sasa wasanii wamaana ukimtoa mondi my favourite namuona mavoko na harmonise tuuu and i dont settle less
3. Wasafi ni biashara ambayo lengo lake ni faida sio kijiwe cha matozi wala marafiki waimbaji i say bro big nooo sasa mnakoelekea mtaajiri mpishi wa wasafi wekeni cost benefit analysisi kuna huduma ni ghali ukikodisha ,zingine zapaswa kuzifanya na waajiriwa zingine ku-out source ,ni vizuri kuwa na studio yenu ila ni kosa kuwa na producer wenu mnachhitaji mikono yote msijifunge.
Ni hayo tu ,kuna msanii lazima mtamtaja wakati mi sjamuongelea