Ushauri wa bure kwa Diamond 'Simba'

ha haha haha haha
 
Maromboso, Lavalava na Queen nani sijui ndio sajili mbovu zilizowahi kufanyika kuliko ule waloufanya Simba kwa yule mganga Pepe Ndaw au ule waloufanya Yanga kwa striker wa Kagame Bahanuzi.
 
Pole sana mkuu, labda nikupe uelewa kidogo kwenye hizi kampuni kubwa wanaotoa idea na kuziongoza no wale ambao wanategemea mishahara ili waishi sio mamilionea. Wenye kampuni sio watendaji kwahiyo usidharau mtu kukosa Mali ni labda kutokua na idea.
Kuna kampuni zipo zinaitwa consultancy coy zenyewe zinawapa ushauri na mawazo kampuni nyingine kwenye masuala mbalimbali lkn ukiziangalia kiundani utagundua sio za kitajiri ila zinatoa ushauri kwa kampuni kubwa za kitajiri.
Nadhani tubadilike mtu akitoa maoni yake yaheshimiwe na mjibu kwa hoja km amekosea.
 
Ok hata we ungekuwa rafiki yangu unamradi wako nikaona nalakushauri ningefanya hivyo,na mkuu unajuaje kama sina kazi roho nzuri bila kulipwa naitoa WAP,mkuu nadhani ni vyema ukawa mkalimu wa kauli
 
tumsamehe ni exposure labda
 
Kumbe imekuburudisha ww mi nilidhani wote
Kuna kitu duniani huwa kinawaburudisha wote ? afu burudani za wengine zinanihusuje mimi ! mi ni mtu mzima nakuelewa vizuri wewe ni mtata tu ,umeanzia kunishangaza kuwa mtu akiwa haja-archieve lolote na amesoma mi theory ming hapaswi kushauri nkakaa kimya nikikusoma uzuri kuna jamaa amekushauri vyema tu akakueleza ni mfumo wa maisha washauri wazuri huwa sio waliofanikiwa kaka aweza kufeli ndoa tatu akawa mshauri mzuri kwa mdogo anaeoa upya ,mkuu sifa moja kuu ya ukweli ni huwa hauna mmiliki mawazo mazuri yaweza toka kwa mtoto wa miaka kumi na tano ,mzee bahresa amehenya miaka na miaka utajiri wake haufiki 1 usd bilion anapitwa na mtoto kama Mo ,Mkuu nadhani utakuwa na mafanikio sana usitutenge sisi tusiokufikia tunayo ya kukusaidia pia
 
Acha kejeli ww...kwan mnapungukiwaga nn mkimweleza mtu bila kumkejeli....
 
Acha kejeli ww...kwan mnapungukiwaga nn mkimweleza mtu bila kumkejeli....
Nimekukejeli wapi mkuu ili nikuombe radhi:
wewe umeniita
- mtoto wa mjini nisie na kazi
-sija fanikisha lolote
-nimejaa matheory
Ila nimechukulia labda ndio namna ulivyo inapaswa uheshimiwe pia
 
Nimekukejeli wapi mkuu ili nikuombe radhi:
wewe umeniita
- mtoto wa mjini nisie na kazi
-sija fanikisha lolote
-nimejaa matheory
Ila nimechukulia labda ndio namna ulivyo inapaswa uheshimiwe pia
Hebu leta hiyo post niliyokuambia hayo unayoyasema
 
Afu huwezi amini hao unaosema watolewe mimi ndo nawakubali.. Ikipigwa Dede na Alele yani muhindi wa kusini nachanganyikiwa
 
yani mama domo akikukataa huna chako[emoji23] mpaka nmeanza kuamini uvumi kuwa mama na mwana wana Kwich
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…