Ushauri wa bure kwa Diamond

Ushauri wa bure kwa Diamond

Waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba vyao, wewe pia utakua una roho mbaya ndio maana umeweza kuliona hilo.

Kuna tofauti ya kuwa maarufu na kufanya kazi na watu maarufu nionavyo diamond bado hajakuwa maarufu kimataifa kama baadhi wanavyoamini anachofanya ni kutafuta pesa kwao na kwenda kuwalipa wa nigeria ili arekodi nao,ndio maana kama unavyoona hapati mialiko zaidi ya nchi zilezile za east au europe na usa ambako uwa anakwenda kuwaburudisha wa east africa wenzake.
 
Kuna tofauti ya kuwa maarufu na kufanya kazi na watu maarufu nionavyo diamond bado hajakuwa maarufu kimataifa kama baadhi wanavyoamini anachofanya ni kutafuta pesa kwao na kwenda kuwalipa wa nigeria ili arekodi nao,ndio maana kama unavyoona hapati mialiko zaidi ya nchi zilezile za east au europe na usa ambako uwa anakwenda kuwaburudisha wa east africa wenzake.

Labda kama tafsiri ya neno MAARUFU itakuwa imebadilishwa basi Diamond sio maarufu kwenye ulimwengu wa muziki wa Africa

Hivi sasa Diamond ni maarufu sana kimuziki Africa anacho hitajika ni kuutumia huo umaarufu kupiga hela tu
 
Kuna tofauti ya kuwa maarufu na kufanya kazi na watu maarufu nionavyo diamond bado hajakuwa maarufu kimataifa kama baadhi wanavyoamini anachofanya ni kutafuta pesa kwao na kwenda kuwalipa wa nigeria ili arekodi nao,ndio maana kama unavyoona hapati mialiko zaidi ya nchi zilezile za east au europe na usa ambako uwa anakwenda kuwaburudisha wa east africa wenzake.

Jamani chibu ni maarufu mbona amumpendi hvi juzi nimeona mchezaji wa Chelsea anadens nyimbo yake km sio maarufu wamejuaje tena mduara ule. Ata show za uko zinakuja kaandika mbona mhh wivu ni ugonjwa
 
Ni ukweli ulio wazi kwamba umefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuvuka changamoto ya kuupeleka mziki wako ukubalike nje ya Tanzania
Hivi sasa mpenda muziki yeyote Africa anajua muziki wako na kukufatilia kwa karibu sana

Najua unatengeneza pesa nzuri kuliko msanii yeyote Ea Afica kwa sasa lakini binafsi naona bado hujafanikiwa kutengeneza pesa kulingana na jina lako na muziki ulijitengenezea

Najaribu kuangalia wasanii ambao upo nao level moja angalau kwa sasa wanvyopiga shows all over the Africa
Angalia acc za insta za psquare au davido
Sioni ukipiga matour ya maana ukiachilia kenya uganda tz burundi rwanda
Natamani nikuone unajaza nyomi cameruni au ghana au misri south africa nk
Show za usa na uk zinalipa sawa lakini himaya yako ipo Africa wanakokutambua, wapige hela bana

Hii ni changamoto kwa Fela na team yako yote, tafuteni mapromota wa nchi husika mkapige hela bana
Shows za tz Pekee hazitoshi, andaa tour moja matata Africa, huu ni wakati wako na hauta kaa juu milele
Ni hayo tu
Naamini unakatiza mitaa hii kuchungulia na kama sio wewe basi wapambe wako

Safi Sana
 
Back
Top Bottom