Kwa wale vijana wote wanaotarajia kujiunga vyuoni mwaka huu nawapa tahadhari kwamba MSIJARIBU KUJIUNGA NA CHUO KUKUU CHA UDOM kwani ni chuo kilichojaa siasa chafu, ufisadi, ukandamizaji, wizi, elimu yenye ubabaishaji, ukosefu wa waalimu na mengine mengi machafu.KWENDA KUSOMA UDOM NI KUHARIBU FUTURE YAKO KWANI UTAKUJA KUJUTA saana baadae.Kwa ushauri zaidi waweza kuni-pm.
Kwa wale vijana wote wanaotarajia kujiunga vyuoni mwaka huu nawapa tahadhari kwamba MSIJARIBU KUJIUNGA NA CHUO KUKUU CHA UDOM kwani ni chuo kilichojaa siasa chafu, ufisadi, ukandamizaji, wizi, elimu yenye ubabaishaji, ukosefu wa waalimu na mengine mengi machafu.KWENDA KUSOMA UDOM NI KUHARIBU FUTURE YAKO KWANI UTAKUJA KUJUTA saana baadae.Kwa ushauri zaidi waweza kuni-pm.
Kwa wale vijana wote wanaotarajia kujiunga vyuoni mwaka huu nawapa tahadhari kwamba MSIJARIBU KUJIUNGA NA CHUO KUKUU CHA UDOM kwani ni chuo kilichojaa siasa chafu, ufisadi, ukandamizaji, wizi, elimu yenye ubabaishaji, ukosefu wa waalimu na mengine mengi machafu.KWENDA KUSOMA UDOM NI KUHARIBU FUTURE YAKO KWANI UTAKUJA KUJUTA saana baadae.Kwa ushauri zaidi waweza kuni-pm.
Mkuu naona umetoka povu jingi sana kwa thread ya ndugu hapa! Bila shaka imekuudhi kitu fulani, by the way hujawa great thinker kwasababu umeporomoka mitusi bila kutoa hoja za kuonyesha it is otherwise. Ungeonekana wa busara kwa kujustify anachokisema sio sahihi. Ni mtazamo tu kwa upande wangu.Wewe ni mseng..e wa kwanza ambaye hujui maana ya UDOM.Tatzo lako unadandia mambo usiyoyajua.Acha kupotosha umma.
Mkuu naona umetoka povu jingi sana kwa thread ya ndugu hapa! Bila shaka imekuudhi kitu fulani, by the way hujawa great thinker kwasababu umeporomoka mitusi bila kutoa hoja za kuonyesha it is otherwise. Ungeonekana wa busara kwa kujustify anachokisema sio sahihi. Ni mtazamo tu kwa upande wangu.
Thanks mkuu unajua watu wengne wanapost vitu kwa kukurupuka bila kufanya feasibility study,screening wala scoping.Ni mkumbo tu na porojo zisizokuwa na tija!.Kama Udom haifai kuwa na hadhi hyo ilipataje kibali kutoka T.C.U ili kukidh vigezo vya kuwa university?.Mbona kina maprof,ma drs na malecturer kutoka nchi za nje kibao?.Hata wale malectures wa ndan wapo qualified kama inavyotakiwa?.Atetee pumba zake na siyo kuropoka na kupotosha wananchi.Inawezekama huyu dogo ali Disco na kujitimua mwenyewe from UDOM.Udom ni chuo kizuri kama vyuo vingne popote duniani.Wanafunzi wanaotaka kujiunga wajiunge bila wasiwasi.
Wanafunz wanakimbilia UDOM kufuata majengo na bunge. Binafsi nakidharau sana hiki chuo, ni chuo chenye koz nying lakini kina waalim wakubebwa au wasiojiweza kitaaluma na wanaburuzwa na CCM, wanachuo wanafikira pevu kuliko walimu wao, Kwa kweli ndgu yangu au mtu anayethamin ushauri wangu hawez kwenda UDOM.
Chuo jina kile no content
Japo najua 20yrz later kitakuwa poa maana viongoz wake weng watakuwa wamebadilika.
Wakati mwingine tuiangalie shillingi kwa pande zake zote mbili. Labda huyu ndugu aliyeanzisha mada hii ama anasoma UDOM lakini ndio wale wale waliozoea ubwete huko walikotoka. Ni kweli ayasemayo lakini alipaswa kutoa whys za kwa nini vijana waombe au wasiombe.
ROMA haijajengwa kwa siku moja, Na zipo sababu za kwa nini hiyo Roma haijajengwa kwa siku moja. Na UDOM pia yawezekana ni vivyo hivyo. Yapo mapungufu kadhaa kwa chuo hiki, lakini pia zipo faida zake.
Huyu mtoa mada alipaswa kueleza pande zote mbili ili sasa muombaji apime.
1. inategemea mwombaji anataka asome nini, kwani unapozungumzia UDOM unazungumzia kapu kubwa ambalo ndani yake kuna vitu vingi, ndani ya UDOM zipo college sita ambazo zinajitegemea kabisa, zipo mbalimbali sana na hazitegemeani kabisa. Mazingira ya college moja sio sawa na ya college nyingine, hata mapungufu na mazuri ya college yanatofautiana kabisa.
Kwa kifupi, mtoa mada alitakiwa kutaja ni college gani ina mapungufu fulani, na mazuri yake fulani. Kusema tu kuwa UDOM haifasi sio jambo la busara sana kwani hata hivyo mambo ya uongozi hayadumu milele, mifumo inabadilika na labda ni suala la wakati tu litabadilisha fikra zake.
Tusubiri tuone........
UNAVYO SEMA WATU WASICHAGUE UDOM WAKATI KUNA COURSES AMBAZO ZINAPATIKANA UDOM PEKEE COURSE KAMA VILE PETROLEUM ENGINEERING, SOFTWARE ENGINEERING, INTERNATIONAL RELATIONS etc. TUNAOMBA UFAFANUZI NI FACULTY GANI NDO ZINA MATATIZO AU NA ZOTE?? By THE WAY THANKS FOR THE INFORMATION