Mimi napenda kizuri si shabiki wa mtu.
Ila alikiba aache ujinga. Harafu jamaa ukweli ni kwamba hana ngoma nzuri anazojinadi kuwa ziko studio, (rejea wakati katoa seduce me. Àlisema ngoma inakuja hii ni stata tu. Mwisho wa siku kimyaa) analijua hilo na anaogopa kutoa nyimbo mara kwa mara coz anajua atachuja kwa sababu nyingi ni mbovu. Wasanii wakubwa kila siku wanatoa ngoma, rejea wiz kid, davido, chris brown kila leo ukiingia mtandaoni unakuta ngoma mpya.
Sababu zake hazinaga mashiko.
Ngoma hata ziwe nyingi kama nzuri watu watazipenda tu.
Kingine anajivunia kwa sababu mashabiki wenye chuki na upande wa pili ndio wanaompa jeuri na si kingine. Vinginevyo bila hila bifu kubali ukatae alikiba angebaki kuwa msanii wa kawaida sana.