....yale matapeli yalitudanganya pesa za MO ndogo,eti Simba ina thamani zaidi ya zile bilioni 10!, kwanini wao wasingeweka bilioni 20 basi wachukue hiyo timu...Simba imekuwa ya kusubiri kuchukua wachezaji wanaoachwa na timu kubwa siku hizi,halafu tunataka kombe!!!