simba kwa sasa haihitaji kuongozwa kwa mfumo wa sasa...simba inabidi ibadilike iwe kampuni watu wawekeze pesa zao pale timu iendeshwe kibiashara kama TP Mazembe au BARCELONA. ..
Wambura mtu wa Mpira anajua fitina za Mpira, Simba wakati ule walikosea sana kumletea figisu figisu kisa wale jamaa wa Mpira pesa pale Mikumi walikuwa wanataka mtu wao apite.
....yale matapeli yalitudanganya pesa za MO ndogo,eti Simba ina thamani zaidi ya zile bilioni 10!, kwanini wao wasingeweka bilioni 20 basi wachukue hiyo timu...Simba imekuwa ya kusubiri kuchukua wachezaji wanaoachwa na timu kubwa siku hizi,halafu tunataka kombe!!!
hao wambura na kaduguda kwa nyakati tofauti walikuwa viongozi wa simba ni kitu gani cha maana walichoacha kuna watu wengi wanaweza kuongoza simba tatizo wanachama na hao makomandoo wenu ndio wanaiua simba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.