Sote tunaumizwa na ajali za kila mara zinazopelekea kupoteza nguvu kazi na hasa Vijana wa Kitanzania.
Polisi wa Usalam barabarani wamekuwa wakijitahidi sana kupunguza ajali hizi lakini kwa asilimia kubwa Polisi mara nyingi wanakuwa na maelewano usio rasmi kati ya mkosaji na Polisi.
Hivyo ajali nyingi zimekuwa zikiongezeka bila ya kupungua. Sasa nina ushauri kama ifuatavyo:- Serikali ichukuae uamuzi mgumu wenye ghara ma kubwa ya kuweka CAMERA kwenye njia kuu muhimu mfano. Dar - Tunduma, Morogoro - Mwanza, Dar - Arusha na Moshi na kwingineko meneo watakoona inafaa.
Kutokana na zoezi hili camera zitarekodi kosa la mtuhumiwa na atakapofika kituo kinachofuata ataelezwa kosa lake na kulipa faini yake.
Utaratibu huu unatumika nchi ya Rwanda na hakuna askari barabarani anayesimamisha magari. Fedha nyingi zinaingia mifukoni mwa Maaskari kwa mtindo wa utaratibu wa sasa.
Nashauri pia tukajifunze kule Rwanda waliwezaje kufanikiwa kwa utaratibu huu.
Polisi wa Usalam barabarani wamekuwa wakijitahidi sana kupunguza ajali hizi lakini kwa asilimia kubwa Polisi mara nyingi wanakuwa na maelewano usio rasmi kati ya mkosaji na Polisi.
Hivyo ajali nyingi zimekuwa zikiongezeka bila ya kupungua. Sasa nina ushauri kama ifuatavyo:- Serikali ichukuae uamuzi mgumu wenye ghara ma kubwa ya kuweka CAMERA kwenye njia kuu muhimu mfano. Dar - Tunduma, Morogoro - Mwanza, Dar - Arusha na Moshi na kwingineko meneo watakoona inafaa.
Kutokana na zoezi hili camera zitarekodi kosa la mtuhumiwa na atakapofika kituo kinachofuata ataelezwa kosa lake na kulipa faini yake.
Utaratibu huu unatumika nchi ya Rwanda na hakuna askari barabarani anayesimamisha magari. Fedha nyingi zinaingia mifukoni mwa Maaskari kwa mtindo wa utaratibu wa sasa.
Nashauri pia tukajifunze kule Rwanda waliwezaje kufanikiwa kwa utaratibu huu.