Ushauri wa bure : usijaribu kwenda kupima HIV/UKIMWI kama hujajipanga kiakili.

Ushauri wa bure : usijaribu kwenda kupima HIV/UKIMWI kama hujajipanga kiakili.

Wazima?

mimi staki kupoteza muda kabisaaa niwape mkasa ulionikumba jana.

picha linaanza mwezi uliopita nimeenda zangu hospitali ya rufaa fulani,katika pita pita za macho bwaaaa(si unajua cc wanaume) nikakutana na binti mmoja hatari sanaaaa kabichi,kazuri,kamejazia tako,yaani karembo mno,kama kazungu siyo kazungu wala kaarabu..nikaja gundua kumbe ni wale waarabu koko wa tabora wale...

muuni nikajitosa nikaomba namba ya simu sababu tulikua tumeenda hapo kuchukua tu maiti so nilikua resi sana...kakatoa namba kiroho safi...

nikakaa kama wiki hivi sijakatafuta hadi tumalize harakati za msiba...baada ya kusettle ndio nikakapandia hewana bwana,mara chatting whattsap n.k tulazoeana fasta nikarusha voko kakajaa...mara tuma picha zako(unajua tutoto twa siku hizi)...asa mi nna picha zangu hizo za kupigishia nyaya in case,nilipigaga studio zinawaka kinyama tofauti na nilivyo...maisha ni kukimbizana ujue.

basi bwaaaanaa...papatu papatu tukapaga siku ya kulana mzigo,ila kimasikhara kakanambia lazima tupime wote ukimwi kabla ya kugegedana...aghhhhh nikasema freshi tu,hapo mi naongozwa na mihemko ya kuwakilisha taifa kwenye kupiga mashine mtoto ngozi nyeupe kama njia ya kulipa kisasi kwa dhambi ya utumwa waliyotutendea babu zao...

siku ya siku ikafika bwana...jana hiyo sasa,tumefika lodge mzee,mambo yakawa moto..jamani eehh mademu weupe wazuri,tuache utani,yaani mashine nyeupeeeeee peee ina weusi tu wa vuzi za kiarabu,mtoto msafi sana...na ukimix na uswahili wa tabora anajua sana kuchezea gia,lamba na kulamba...romance za kufa mtu.

nikasema sasa ni muda wangu wa kulipa kisasi kwa babu zake kwa kutufanya watumwa....ile naanza tu kakagutuka,kakasimama,kakaendea pochi yake...mara kanatoa tule tududu twa kupimia UKIMWI....ohhh lahaulaaa mama,yamekuwa hayo tena????

kakasema si tulikubaliana baby,hapo mimi wenge likaanza kunitoka,akili inanikaa sawa sasa...mimi issue ya kupima VVU hapana...nikasema ulikua utani tu jamani ehhh...akagoma,akasema basi tuishie hapo.

dahhh sasa kuacha hii kazi nikaona utakua uzembe...nikajikaza tu kwa hisani ya nyege ambazo zimeshatafuna sehemu kubwa ya ubongo kwa wakati huo...kama utani kakanitoa damu bwana,kakafanya manuva yake hapo tia sijui na vimaji gani kakasema tusubiri dakika kumi...mimi dakika mbili tu zilitosha kunirudisha miaka zaidi ya kumi na tano niliyoshiriki ngono....na wanawake wa kila aina,,,,nikasema naomba niende hapo nje nikanunue maji baby,sawa...nikavaa nikatoka nje,kule nje nikawaza hivi kweli mimi nitaweza kuvuilia kuambiwa nina ngoma????

nikaona isiwe taabu...nikasepa zangu,nikakimbia mbio achana na haya mambo ya kupimana kwa kushtukiza...nikazima simu,nikazima data *****...sitaki ushenzi mimi...

kumbe asubuhi bwana nawasha data nakuta kacheeeeeekkkkkaaaaa sanaa mnooo yaaniii

kanitumia picha ya vipimo kumbe bwana sina hata ngoma yenyewe....nimekosa kukala kale kademu kisa haya mambo ya kupima.

usijaribu kupima kama hujajipangaView attachment 1095004
Kuna wakati nliendaga nchi moja
Kwenye moja ya process yao ilikuwa lzima nifanye medical checkup
Ambayo wanakucheki hadi ngoma
Lakini kidume nlijilipuaaa
Alafu syo unaenda wewe tu kupima
Wao ndy wana ku direct uende kwa mtu wao hapa anakufanyia
Tulikuwa watu 5 kati ya 5,watu 4 walisanda
Ni kwli unachosema kupima ngoma usikurupuke

Ova
20190512_123135.jpg
 
Mimi nilikuwaga nacho enzi za ubarobaro mh..kalikaa ndani maana kila nikitakupima jasho linanitoka nakarudisha kwenye brifcase siku moja nilisema liwalo na liwe nikapiga castle lager zangu nyingiii nikawa chakari nikasema sasa ngoja nipime dah nikjichoma freshi nikaweka kidude sala zote nilisali huku kijasho kinanitoka ...nashukuru kumbe kidude kilisha expire niliruka ruka kule ndani..mpaka leo sijawahi pima na mke na watoto kadhaa.
 
Chai na ramazan yotee hii mkuu
poa mkuu chaii

labda namna yangu ya kuandika unaona imekaa kimasikhara...mimi siyo mwandishi mzuri

ila main topic hapo nadhani umeelewa....usipime kwa surprise
 
Mimi nilikuwaga nacho enzi za ubarobaro mh..kalikaa ndani maana kila nikitakupima jasho linanitoka nakarudisha kwenye brifcase siku moja nilisema liwalo na liwe nikapiga castle lager zangu nyingiii nikawa chakari nikasema sasa ngoja nipime dah nikjichoma freshi nikaweka kidude sala zote nilisali huku kijasho kinanitoka ...nashukuru kumbe kidude kilisha expire niliruka ruka kule ndani..mpaka leo sijawahi pima na mke na watoto kadhaa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nimecheka sanaaa, mimi ilinikuta mwaka jana mtoto nilimuelewa nikataka kuoa kabisa mwanzo kabisa nikaingiza wazo la kupima akakubali lakini mimi nilietoa wazo nikaanza kutetemeka bahati nzuri majibu yakaja fresh akaniamini sana, tukaendelea na process zingine(za ndoa).
2019-05-12%2012.51.29.jpeg
 
Kuna wakati nliendaga nchi moja
Kwenye moja ya process yao ilikuwa lzima nifanye medical checkup
Ambayo wanakucheki hadi ngoma
Lakini kidume nlijilipuaaa
Alafu syo unaenda wewe tu kupima
Wao ndy wana ku direct uende kwa mtu wao hapa anakufanyia
Tulikuwa watu 5 kati ya 5,watu 4 walisanda
Ni kwli unachosema kupima ngoma usikurupuke

Ova
View attachment 1095073
hili suala ni la machozi,jasho na damu
 
Nimecheka sanaaa, mimi ilinikuta mwaka jana mtoto nilimuelewa nikataka kuoa kabisa mwanzo kabisa nikaingiza wazo la kupima akakubali lakini mimi nilietoa wazo nikaanza kutetemeka bahati nzuri majibu yakaja fresh akaniamini sana, tukaendelea na process zingine(za ndoa). View attachment 1095082
hongera sana ndugu

kupima ngoma siyo mchezo jamani,watu hawajui tu
 
  • Thanks
Reactions: R.K
Ukiamwi unao pima tena baada ya miezi sita 😝😝😝😝
 
Wazima?

mimi staki kupoteza muda kabisaaa niwape mkasa ulionikumba jana.

picha linaanza mwezi uliopita nimeenda zangu hospitali ya rufaa fulani,katika pita pita za macho bwaaaa(si unajua cc wanaume) nikakutana na binti mmoja hatari sanaaaa kabichi,kazuri,kamejazia tako,yaani karembo mno,kama kazungu siyo kazungu wala kaarabu..nikaja gundua kumbe ni wale waarabu koko wa tabora wale...

muuni nikajitosa nikaomba namba ya simu sababu tulikua tumeenda hapo kuchukua tu maiti so nilikua resi sana...kakatoa namba kiroho safi...

nikakaa kama wiki hivi sijakatafuta hadi tumalize harakati za msiba...baada ya kusettle ndio nikakapandia hewana bwana,mara chatting whattsap n.k tulazoeana fasta nikarusha voko kakajaa...mara tuma picha zako(unajua tutoto twa siku hizi)...asa mi nna picha zangu hizo za kupigishia nyaya in case,nilipigaga studio zinawaka kinyama tofauti na nilivyo...maisha ni kukimbizana ujue.

basi bwaaaanaa...papatu papatu tukapaga siku ya kulana mzigo,ila kimasikhara kakanambia lazima tupime wote ukimwi kabla ya kugegedana...aghhhhh nikasema freshi tu,hapo mi naongozwa na mihemko ya kuwakilisha taifa kwenye kupiga mashine mtoto ngozi nyeupe kama njia ya kulipa kisasi kwa dhambi ya utumwa waliyotutendea babu zao...

siku ya siku ikafika bwana...jana hiyo sasa,tumefika lodge mzee,mambo yakawa moto..jamani eehh mademu weupe wazuri,tuache utani,yaani mashine nyeupeeeeee peee ina weusi tu wa vuzi za kiarabu,mtoto msafi sana...na ukimix na uswahili wa tabora anajua sana kuchezea gia,lamba na kulamba...romance za kufa mtu.

nikasema sasa ni muda wangu wa kulipa kisasi kwa babu zake kwa kutufanya watumwa....ile naanza tu kakagutuka,kakasimama,kakaendea pochi yake...mara kanatoa tule tududu twa kupimia UKIMWI....ohhh lahaulaaa mama,yamekuwa hayo tena????

kakasema si tulikubaliana baby,hapo mimi wenge likaanza kunitoka,akili inanikaa sawa sasa...mimi issue ya kupima VVU hapana...nikasema ulikua utani tu jamani ehhh...akagoma,akasema basi tuishie hapo.

dahhh sasa kuacha hii kazi nikaona utakua uzembe...nikajikaza tu kwa hisani ya nyege ambazo zimeshatafuna sehemu kubwa ya ubongo kwa wakati huo...kama utani kakanitoa damu bwana,kakafanya manuva yake hapo tia sijui na vimaji gani kakasema tusubiri dakika kumi...mimi dakika mbili tu zilitosha kunirudisha miaka zaidi ya kumi na tano niliyoshiriki ngono....na wanawake wa kila aina,,,,nikasema naomba niende hapo nje nikanunue maji baby,sawa...nikavaa nikatoka nje,kule nje nikawaza hivi kweli mimi nitaweza kuvuilia kuambiwa nina ngoma????

nikaona isiwe taabu...nikasepa zangu,nikakimbia mbio achana na haya mambo ya kupimana kwa kushtukiza...nikazima simu,nikazima data *****...sitaki ushenzi mimi...

kumbe asubuhi bwana nawasha data nakuta kacheeeeeekkkkkaaaaa sanaa mnooo yaaniii

kanitumia picha ya vipimo kumbe bwana sina hata ngoma yenyewe....nimekosa kukala kale kademu kisa haya mambo ya kupima.

usijaribu kupima kama hujajipangaView attachment 1095004
Siku hizi mikoani ukienda Hospitali,Zahanati,Kituo cha afya cha Umma hupati huduma mpaka wakupime VVU.Kwa hiyo maandalizi ni muhimu.Yote kwa yote papuchi ziliwe kwa protective gear (zana),,Wazee zana zinazuia endapo zinatumika ipasavyo.Tukishindwa kabisa Tuwe waaminifu au tuachane na habari za papuchi.
 
Siku hizi mikoani ukienda Hospitali,Zahanati,Kituo cha afya cha Umma hupati huduma mpaka wakupime VVU.Kwa hiyo maandalizi ni muhimu.Yote kwa yote papuchi ziliwe kwa protective gear (zana),,Wazee zana zinazuia endapo zinatumika ipasavyo.Tukishindwa kabisa Tuwe waaminifu au tuachane na habari za papuchi.
kuacha unaachaje bro
 
Mimi nilikuwaga nacho enzi za ubarobaro mh..kalikaa ndani maana kila nikitakupima jasho linanitoka nakarudisha kwenye brifcase siku moja nilisema liwalo na liwe nikapiga castle lager zangu nyingiii nikawa chakari nikasema sasa ngoja nipime dah nikjichoma freshi nikaweka kidude sala zote nilisali huku kijasho kinanitoka ...nashukuru kumbe kidude kilisha expire niliruka ruka kule ndani..mpaka leo sijawahi pima na mke na watoto kadhaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom