Ushauri wa bure utakaokusaidia: Ukiona watu wanapigana mtaani pita kando, kushangaa shangaa unaweza kubambikiwa kesi ya mauaji

Ushauri wa bure utakaokusaidia: Ukiona watu wanapigana mtaani pita kando, kushangaa shangaa unaweza kubambikiwa kesi ya mauaji

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Nina mifano mitatu ya kweli kabisa:

1. Nimewahi kuingia gerezani kwa usiku mmoja, huko nilikutana na mtu mmoja aliyepewa kesi ya mauaji kwa sababu hii. Alikuwa anapita njia akakuta jamaa kadhaa wanampiga mtu, akabaki hapo kama mshangaaji. Siku kadhaa zikapita aliyepigwa akafariki, polisi wakaanza msako, wakadaka baadhi, baada ya kipigo wakaanza kutaja watu waliokuwepo, jamaa naye akatajwa.

Walipofika polisi hakujisumbua kurekebisha akajiaminisha mimi sijahusika, mwisho wa siku alijikuta kapanda mahakamani baadae gerezani. Kipindi naongea nae alikukuwa kishakaa mwaka mmoja huko magereza. Baada ya miaka miwili kupita tangu nilipomuona magereza nikakutana nae uraiani sikuweza ongea nae kwa kuwa mazingira hayakuwa rafiki.

2. Siku za karibuni jamaa mmoja namfahamu alikuwa anatoka msikitini jioni, akakuta watu wanapigana, akabaki kushangaa. Siku ya siku aliyepigwa kafariki, jamaa katajwa yuko ndani anaisaidia polisi.

3. Binafsi huwa sinaga tabia ya kushangaa vitu kama hivi, marehemu baba yangu alinihusia tangu niko darasa la pili kuhusiana na jambo hili kwa kuwa naye alishawahi kupona kimiujiza kwenye tukio kama hili.
 
Duh! [emoji15][emoji848]

Ubinadamu uko wapi, watu hofu zimetanda kiasi kwamba hatuwezi kusaidiana... naona hii ni njia nyie vibaka mnaitangaza ili muumize na hata kuuwa huku watu wakipita mchana kweupe.!
 
Duh! [emoji15][emoji848]

Ubinadamu uko wapi, watu hofu zimetanda kiasi kwamba hatuwezi kusaidiana... naona hii ni njia nyie vibaka mnaitangaza ili muumize na hata kuuwa huku watu wakipita mchana kweupe.!
Ni matukio ya kweli kabisa mkuu, tatizo askari wetu ndio uelewa mdogo. Nenda karipoti kusema nimeona mtu kafariki kichakani uone kasheshe utakayopata
 
Nina mifano mitatu ya kweli kabisa:

1. Nimewahi kuingia gerezani kwa usiku mmoja, huko nilikutana na mtu mmoja aliyepewa kesi ya mauaji kwa sababu hii. Alikuwa anapita njia akakuta jamaa kadhaa wanampiga mtu, akabaki hapo kama mshangaaji. Siku kadhaa zikapita aliyepigwa akafariki, polisi wakaanza msako, wakadaka baadhi, baada ya kipigo wakaanza kutaja watu waliokuwepo, jamaa naye akatajwa.

Walipofika polisi hakujisumbua kurekebisha akajiaminisha mimi sijahusika, mwisho wa siku alijikuta kapanda mahakamani baadae gerezani. Kipindi naongea nae alikukuwa kishakaa mwaka mmoja huko magereza. Baada ya miaka miwili kupita tangu nilipomuona magereza nikakutana nae uraiani sikuweza ongea nae kwa kuwa mazingira hayakuwa rafiki.

2. Siku za karibuni jamaa mmoja namfahamu alikuwa anatoka msikitini jioni, akakuta watu wanapigana, akabaki kushangaa. Siku ya siku aliyepigwa kafariki, jamaa katajwa yuko ndani anaisaidia polisi.

3. Binafsi huwa sinaga tabia ya kushangaa vitu kama hivi, marehemu baba yangu alinihusia tangu niko darasa la pili kuhusiana na jambo hili kwa kuwa naye alishawahi kupona kimiujiza kwenye tukio kama hili.
Naombea siku Utaitiwe na Vibaka na Kuzushiwa kelele za Mwizi uanze Kupigwa halafu raia wema wapite wima wima bila kusuluhisha ili UFE maana hauna UTU.
Kwa taarifa yako hao wanaokuja kushuhudia mwisho wa siku ndio waamuzi wa kukuokoa au kutoa taarifa Polisi, akili za Kuambiwa Changanya na zako.
 
Sema kushangaa sio kusaidia .piga simu polisi kuwa mtaa flani kunamtu anauwawa waje haraka unashangaa nini mtu kupigwa ?
 
Sema kushangaa sio kusaidia .piga simu polisi kuwa mtaa flani kunamtu anauwawa waje haraka unashangaa nini mtu kupigwa ?

Unamaanisha hawa polisi wetu uchwara au upo nchi gani.?
 
Hao wanakulinda wewe na mmeo muishi bila wasiwasi mtaani ,ukiwa umelala na mmeo ndani jua wanaume wapo nje wanawalinda

Dada umetaja neno ‘mumeo’ kwa madaha na msisitizo sana, nimetamani nikuoe mke wa akiba walahi. [emoji39][emoji39]
 
Nina mifano mitatu ya kweli kabisa:

1. Nimewahi kuingia gerezani kwa usiku mmoja, huko nilikutana na mtu mmoja aliyepewa kesi ya mauaji kwa sababu hii. Alikuwa anapita njia akakuta jamaa kadhaa wanampiga mtu, akabaki hapo kama mshangaaji. Siku kadhaa zikapita aliyepigwa akafariki, polisi wakaanza msako, wakadaka baadhi, baada ya kipigo wakaanza kutaja watu waliokuwepo, jamaa naye akatajwa.

Walipofika polisi hakujisumbua kurekebisha akajiaminisha mimi sijahusika, mwisho wa siku alijikuta kapanda mahakamani baadae gerezani. Kipindi naongea nae alikukuwa kishakaa mwaka mmoja huko magereza. Baada ya miaka miwili kupita tangu nilipomuona magereza nikakutana nae uraiani sikuweza ongea nae kwa kuwa mazingira hayakuwa rafiki.

2. Siku za karibuni jamaa mmoja namfahamu alikuwa anatoka msikitini jioni, akakuta watu wanapigana, akabaki kushangaa. Siku ya siku aliyepigwa kafariki, jamaa katajwa yuko ndani anaisaidia polisi.

3. Binafsi huwa sinaga tabia ya kushangaa vitu kama hivi, marehemu baba yangu alinihusia tangu niko darasa la pili kuhusiana na jambo hili kwa kuwa naye alishawahi kupona kimiujiza kwenye tukio kama hili.
Mkuu,
Umeeleza matukio uliyoyaona.
Napenda nikufafanulie kuhusiana na mashtaka. kutenda kosa sio lazima ulitende moja kwa moja unapozubaa mahali panatendeka kosa mazingira yanaweza kukupelekea kuwa compliance( mshiriki) kwa njia moja ama nyingine.
Katika utengemezaji wa kesi siku zote zinahitajika statement za kimazingira ili kukamilisha shtaka.
Ni lazima ushtakiwe ili um incriminate mshitakiwa mwenza ili kosa lenyewe lipate kutimia.
Kesi ni kitu kibaya ni ya kuikalia kama kunguru wa Zanzibar shtuka Saa yote
 
Naombea siku Utaitiwe na Vibaka na Kuzushiwa kelele za Mwizi uanze Kupigwa halafu raia wema wapite wima wima bila kusuluhisha ili UFE maana hauna UTU.
Kwa taarifa yako hao wanaokuja kushuhudia mwisho wa siku ndio waamuzi wa kukuokoa au kutoa taarifa Polisi, akili za Kuambiwa Changanya na zako.

Huyu jamaa msimlaumu kwenye mambo ya kisheria huwa wanasema ni kile unachoweza ku prove siyo unachojua.

Kuna siku tupo 3 tumetoka kazi moja tunawahi kazi ingine tena kwenye nchi zilizoendelea tulienda kusoma.
Sasa katika kona moja tukawakuta jamaa wanapigana. Wazungu wanapita tu tena faster, sasa kuna dada tulikuwa nae kutoka nchi nyingine ya Africa akapiga polisi kureport ili waje kwenye tukio.

Ngoma ilianzia hapo kwanza aliambiwa usiondoke hapo, walipokuja waka sort ule ugomvi wakaanza kuchukua maelezo. Hawana haraka maana wakikuambia usiondoke ukaondoka wana usemi wa obstruction of justice ambalo ni kosa. Walimchukua maelezo hadi anapoishi ile kesi ilifika mahakamani yaani akawa anaenda kama witness.

Sasa hapo kazini alichelewa masaa mawili
Muda wa mahakamani yaani ni issue.

Assess situation.
 
Huyu jamaa msimlaumu kwenye mambo ya kisheria huwa wanasema ni kile unachoweza ku prove siyo unachojua.

Kuna siku tupo 3 tumetoka kazi moja tunawahi kazi ingine tena kwenye nchi zilizoendelea tulienda kusoma.
Sasa katika kona moja tukawakuta jamaa wanapigana. Wazungu wanapita tu tena faster, sasa kuna dada tulikuwa nae kutoka nchi nyingine ya Africa akapiga polisi kureport ili waje kwenye tukio.

Ngoma ilianzia hapo kwanza aliambiwa usiondoke hapo, walipokuja waka sort ule ugomvi wakaanza kuchukua maelezo. Hawana haraka maana wakikuambia usiondoke ukaondoka wana usemi wa obstruction of justice ambalo ni kosa. Walimchukua maelezo hadi anapoishi ile kesi ilifika mahakamani yaani akawa anaenda kama witness.

Sasa hapo kazini alichelewa masaa mawili
Muda wa mahakamani yaani ni issue.

Assess situation.
Shida yetu Africans tunakipelembelembele kisa tumekalishwa siasa ya ujamaa kumbe weupe wanaijua hii dunia kuwa mind your beewax
 
Huwez Kufungwa ila utakaa mahabusu hata miaka miwili Kwanza had upelelezi ukamilike ajulikane muuwaji
 
Nina mifano mitatu ya kweli kabisa:

1. Nimewahi kuingia gerezani kwa usiku mmoja, huko nilikutana na mtu mmoja aliyepewa kesi ya mauaji kwa sababu hii. Alikuwa anapita njia akakuta jamaa kadhaa wanampiga mtu, akabaki hapo kama mshangaaji. Siku kadhaa zikapita aliyepigwa akafariki, polisi wakaanza msako, wakadaka baadhi, baada ya kipigo wakaanza kutaja watu waliokuwepo, jamaa naye akatajwa.

Walipofika polisi hakujisumbua kurekebisha akajiaminisha mimi sijahusika, mwisho wa siku alijikuta kapanda mahakamani baadae gerezani. Kipindi naongea nae alikukuwa kishakaa mwaka mmoja huko magereza. Baada ya miaka miwili kupita tangu nilipomuona magereza nikakutana nae uraiani sikuweza ongea nae kwa kuwa mazingira hayakuwa rafiki.

2. Siku za karibuni jamaa mmoja namfahamu alikuwa anatoka msikitini jioni, akakuta watu wanapigana, akabaki kushangaa. Siku ya siku aliyepigwa kafariki, jamaa katajwa yuko ndani anaisaidia polisi.

3. Binafsi huwa sinaga tabia ya kushangaa vitu kama hivi, marehemu baba yangu alinihusia tangu niko darasa la pili kuhusiana na jambo hili kwa kuwa naye alishawahi kupona kimiujiza kwenye tukio kama hili.
Nikikuta wanapigana natoa simu janja naanza kurekodi
 
Nina mifano mitatu ya kweli kabisa:

1. Nimewahi kuingia gerezani kwa usiku mmoja, huko nilikutana na mtu mmoja aliyepewa kesi ya mauaji kwa sababu hii. Alikuwa anapita njia akakuta jamaa kadhaa wanampiga mtu, akabaki hapo kama mshangaaji. Siku kadhaa zikapita aliyepigwa akafariki, polisi wakaanza msako, wakadaka baadhi, baada ya kipigo wakaanza kutaja watu waliokuwepo, jamaa naye akatajwa.

Walipofika polisi hakujisumbua kurekebisha akajiaminisha mimi sijahusika, mwisho wa siku alijikuta kapanda mahakamani baadae gerezani. Kipindi naongea nae alikukuwa kishakaa mwaka mmoja huko magereza. Baada ya miaka miwili kupita tangu nilipomuona magereza nikakutana nae uraiani sikuweza ongea nae kwa kuwa mazingira hayakuwa rafiki.

2. Siku za karibuni jamaa mmoja namfahamu alikuwa anatoka msikitini jioni, akakuta watu wanapigana, akabaki kushangaa. Siku ya siku aliyepigwa kafariki, jamaa katajwa yuko ndani anaisaidia polisi.

3. Binafsi huwa sinaga tabia ya kushangaa vitu kama hivi, marehemu baba yangu alinihusia tangu niko darasa la pili kuhusiana na jambo hili kwa kuwa naye alishawahi kupona kimiujiza kwenye tukio kama hili.

Hili mwaka jana limenitokea mpigwa karibu afe! Na alikuwa auawe! Jamaa alimpiga yule akampigisha kichwa ukutan nikaenda mkamata mpigaji nikamwambia aende nyumban nikamkamata mpigwaj nikampleka nyumban! Ila baadae nilionywa kuwa naweza kuuawa kwa kuwa mmojawap anaweza kuwa na kisu akanidhuru!
 
Back
Top Bottom