Ushauri wa fuso fighter

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
wakuu habari zenu ?
kama nilivyo andika hapo juu
Naomba ushauri wa gari hiyo ya mizigo fuso fighter 4 tone uzuri wake na ubaya wake ..nataka kuifanyia kazi dodoma to dar.asanteni
 
16 au 17? Hizo tani 4 ni huko kwao, huku kwetu fuso inabeba tani 10 ikiwa kawaida, tandam inabeba mpaka 18... Ni gari ya kazi haswa, ila sasa bei yake imechangamka unaweza kutamani ununue horse ya DAF tu ukilinganisha bei.
 
asante mkuu ni 17
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…