hata jamaa amemshauri waende bomani pia ila bint anadai atatengwa coz kwenye uislam hawaitambui ndoa ya boman na wazazi walishamtisha kuwa akijaribu kufunga ndoa ya kanisani au bomani basi asiwatambue,bint nae kachanganyikiwa ndoa anaitaka wazazi anawataka
Hiyo inasaidia kama wote mko tayari , asa huyu binti nadhani hampendi mshkaji ndio maana anasisitiza hilo haliwezekani
sunshine..Habari ya wakti huu wapendwa wa jf,jamani ushauri unahitajika kwa rafiki yangu huyu inshu ni very serious kwa hiyo wale watu waliotajwa na maty kuwa wanakera ni bora wasichangie.
Nina rafiki yangu saaana wa kiume jana alikuja kwangu na kunieleza habari hii ambayo nilishindwa hata nimshauri nini nikaona nilete hapa tusaidiane,Kijana huyu ana girlfriend wake ambaye wana muda wa miaka miwili tangu waanze uhusiano huo,ila kabla ya huyu ambaye yupo nae,alishawahi kukutana na binti mmoja hivi ambae alimpenda mno tu kwa maelezo yake na akawa amemtangazia nia ya kutaka kumuoa ila bint akawa amekataa kwa kumwambia kuwa hawataweza kuoana kwa ajili ya dini zao ni tofauti bint ni muslim jamaa ni christian basi jamaa alibembeleza lakin bint akasisitiza kuwa bado hawataweza kuuowana. jamaa akawa amekata tamaa ya kumpata.ndipo alipoanzisha uhusiano na huyo bint wa kwanza hapo ambae wapo nae kwa miaka miwili.tatizo alilonalo sasa ni kwamba jamaa bado anampenda yule bint wa kiislam mno tu na anahisi ndiyo mwanamke pekee ambae anaweza kuwa mtu wa maisha yake.na bint nae bado anasisitiza hawezi kubadili dini anaogopa sana wazazi wake,na jamaa anahisi mapenzi kwa girlfriend wake yamepungua kabisa coz hisia zote zipo kwa mdada wa kiislam.sasa anasema hajui hata nini afanye anayempenda kuna kikwazo aliyenae hampendi kihivyo kwahiyohata suala la kumuoa ni haiwezekani na kuanza kutafuta mdada mwingine anasema ndo kazi hasaaa mana wadada nao sasa hivi ni usanii mtupu.afanyaje?umri nao umesogea kwa kiasi flan basi ni amechanganyikiwa kbs.
yupi sasa atii hisia zake?Atii hisia zake, ili iwe rahisi kwake kuamua
Habari ya wakti huu wapendwa wa jf,jamani ushauri unahitajika kwa rafiki yangu huyu inshu ni very serious kwa hiyo wale watu waliotajwa na maty kuwa wanakera ni bora wasichangie.
Nina rafiki yangu saaana wa kiume jana alikuja kwangu na kunieleza habari hii ambayo nilishindwa hata nimshauri nini nikaona nilete hapa tusaidiane,Kijana huyu ana girlfriend wake ambaye wana muda wa miaka miwili tangu waanze uhusiano huo,ila kabla ya huyu ambaye yupo nae,alishawahi kukutana na binti mmoja hivi ambae alimpenda mno tu kwa maelezo yake na akawa amemtangazia nia ya kutaka kumuoa ila bint akawa amekataa kwa kumwambia kuwa hawataweza kuoana kwa ajili ya dini zao ni tofauti bint ni muslim jamaa ni christian basi jamaa alibembeleza lakin bint akasisitiza kuwa bado hawataweza kuuowana. jamaa akawa amekata tamaa ya kumpata.ndipo alipoanzisha uhusiano na huyo bint wa kwanza hapo ambae wapo nae kwa miaka miwili.tatizo alilonalo sasa ni kwamba jamaa bado anampenda yule bint wa kiislam mno tu na anahisi ndiyo mwanamke pekee ambae anaweza kuwa mtu wa maisha yake.na bint nae bado anasisitiza hawezi kubadili dini anaogopa sana wazazi wake,na jamaa anahisi mapenzi kwa girlfriend wake yamepungua kabisa coz hisia zote zipo kwa mdada wa kiislam.sasa anasema hajui hata nini afanye anayempenda kuna kikwazo aliyenae hampendi kihivyo kwahiyohata suala la kumuoa ni haiwezekani na kuanza kutafuta mdada mwingine anasema ndo kazi hasaaa mana wadada nao sasa hivi ni usanii mtupu.afanyaje?umri nao umesogea kwa kiasi flan basi ni amechanganyikiwa kbs.
Kuna wengine wanatumia njia ya kujazana mimba...hii inawashinikiza wazazi wakubali ndoa katika form yoyote....ila at your own risk...
sunshine..
Habari yako inanipa shida kidogo naona kama kuna kitu inamiss, maana umezungumzia kwamba dada wa kiislamu aligoma kuolewa na jamaa akaanzisha mahusiano mengine, ila sioni sehemu kama umesema bado wanaendelea au kama wameshaachana, yangu ni haya;
Ushauri tu kwako, ukianza na "wale akina fulani wasichangie" inakua haileti environment nzuri, na pia nimeona unasema ushauri wa haraka unahitajika... politeness is Nobel dada
- Kwanza kabisa kuyo dogo aache kumchezeea huyo binti aliye naye sasa, kama hampendi kwani sio fair kwa huyo dada
- pili mapenzi hayana dini na ukiona mtu anafanya hivyo ujue penzi lake sio pomoni, love has no limit na watu wengi wamevuka mipaka kama kweli wanapendana, na huyo dada wa kiislamu inavyoonekana hampendi jamaa na dio maana wakaseparate, if they were truely in love; they would continue bila kuoana
- Tatu,je huyo binti wa kiislamu ana mtu mwingine?
- Najisikia vibaya sana they guy is in dilemma lakini tufahamu kwamba mara nyingi mtu anapokutema kuna nafsi inakataa na waweza kuta huyo dogo hayo mapenzi ni ile fighting spirit aliyonayo ya never say die.... he may be disappointed wakikutana tena
- sielewi my friend Rose80 ameshauri vipi hayo ya bomani yanakujaje wakati hata consensus haijafikiwa kati ya the lovebirds
ni vyema ungeweza kutumia paragraph nk.
Ukavalumbya vosi
mkuu... ni kweli, mara nyingi utaona mwanamke au mwanaume anapigania the fading love kweli, halafu baadae akisha let-go huwa anajiuliza "hivi nilikua nahangaikia nini na yule "f@la" ... eishManeno ya msingi sana hayo. Mhusika inampasa ajiulize kama yuko in love or in a fight.