karume kenge
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 568
- 421
Habar wanajamvi juzi mida ya jion nimekaa na jamaa yangu ananipa story alikua na apointment na dem wake jpil jion bac bwana jamaa kapiga cm weeee mwanamke hapokei jamaa akaona isiwe tabu wacha nijikate home ndio nishapigwa nishakalia benc mana mpaka dakika tisini si yanga wala simba
Basi bwana jumatatu demu wake kampigia simu akiwa na majonz tele na kumuomba samahan kibao ila mkasa ulikua hivi baada ya kutoka kanisan karud nyumban yeye anakaa na mtoto wa kaka yake mwenye umri wa miaka 17 yule bint alikua analalamika sana tumbo linamuuma saana
Basi wakampeleka kupima katika vipimo wakashuru bora wapime na mimba hamadi bint ana ujauzito wa mwezi mmoja ikawa ni mshtuko mkubwa na pasipo kutarajia wakarudi nyumban wakambana sana binti pamoja na vipigo vya haja kwa muda wa siku tatu maneno ya bint anasema yy hajawah kufanya mapenzi toka amezaliwa na hajui maana ya mapenzi mbali ya yote yy bado ni bikira
Ikawa ni mshtuko mkubwa sana wakaona isiwe tabu jumapili wakarud tena hospital kupima kama kweli ni bikira au uongo wa bint kweli baada ya vipimo bint ni bikira na juu ya yote hakuna shahawa ya mwanaume yyt iliyowahi kupita kwenye uke wa bint
Ikawa ni mshituko kwa doctor na watu wengine walokuwepo hapo na manes na vilio kwa wengine ss huyu bint anasema bora ampeleke kwenye maombi akaombewe je mimba itatoka na je akimuacha azae hicho kitatoka kiumbe gani na akitoka mtu atakua na baba gan binafs mimi nilimshaur atoe mimba sasa wadau msaada na ishaur hii story si ya kutunga ni ukweli mtupu kama huna ushaur tafadhal kaa kimya
Basi bwana jumatatu demu wake kampigia simu akiwa na majonz tele na kumuomba samahan kibao ila mkasa ulikua hivi baada ya kutoka kanisan karud nyumban yeye anakaa na mtoto wa kaka yake mwenye umri wa miaka 17 yule bint alikua analalamika sana tumbo linamuuma saana
Basi wakampeleka kupima katika vipimo wakashuru bora wapime na mimba hamadi bint ana ujauzito wa mwezi mmoja ikawa ni mshtuko mkubwa na pasipo kutarajia wakarudi nyumban wakambana sana binti pamoja na vipigo vya haja kwa muda wa siku tatu maneno ya bint anasema yy hajawah kufanya mapenzi toka amezaliwa na hajui maana ya mapenzi mbali ya yote yy bado ni bikira
Ikawa ni mshtuko mkubwa sana wakaona isiwe tabu jumapili wakarud tena hospital kupima kama kweli ni bikira au uongo wa bint kweli baada ya vipimo bint ni bikira na juu ya yote hakuna shahawa ya mwanaume yyt iliyowahi kupita kwenye uke wa bint
Ikawa ni mshituko kwa doctor na watu wengine walokuwepo hapo na manes na vilio kwa wengine ss huyu bint anasema bora ampeleke kwenye maombi akaombewe je mimba itatoka na je akimuacha azae hicho kitatoka kiumbe gani na akitoka mtu atakua na baba gan binafs mimi nilimshaur atoe mimba sasa wadau msaada na ishaur hii story si ya kutunga ni ukweli mtupu kama huna ushaur tafadhal kaa kimya