Ushauri Wa Haraka Juu Ya Afya Ya mzee Huyu

Ushauri Wa Haraka Juu Ya Afya Ya mzee Huyu

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Naomba ushauri juu ya afya ya mzee mwenye tatizo la sudden heart attack ambayo hutokea mara nyingi saa kumi jion na saa kumi alfajiri na kumpelekea kushindwa kupumua na kuhangaika sana hospitali wamepima mfumo wa moyo wanasema hana matatizo eneo hilo ushauri tafadhali ili tuokoe maisha:
 
Ushauri ni muhim ndugu zangu hali inatisha sasa ni kama mwezi mmoja na nusu
 
Ndugu zangu ushauri wenu ni muhim sana wanajukwaa tafadhali
 
Ngoja,kidogo namalizi kupiga ramli la kuonyesha,ndege ya malaysia airlines ilipo
 
Nasubiri majibu kwani ni muhim sana tena sana wakuu
 
Umesema saa kumi jioni na saa kumi alfajiri ndio anazidiwa? Kwa nini iwe mida hiyo? Na kama hsptl wanasema hana tatizo hilo jaribu tiba za mababu kwanza we mwenyewe mbona ID yako inafanana kiaina na ile dawa mpe jagi zima.
 
Back
Top Bottom