OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
mwaka 2019 nikaomba tena ajira Serikalini na kupangiwa kituo cha kazi kwenye halmashauri tofauti na ile ya awali hivyo huko sikuambulia chochote zaidi ya kupoteza raslimali na Muda wangu.
Maana hapo nilipambana na kumsihi HR aniombee kibali cha kuendelea kutumia check na kwa Katibu Mkuu Utumishi na alikubali japo bado naendelea kufuatilia lakini bado ninapambana na mishe za kitaa nazo ndiyo hivyo nikizichanga kiasi zinaibuka changamoto zilizo juu ya uwezo wangu napoteza kila senti ninaanza moja
Hizi aya mbili zinakinzana au?lete maelezo kisha hitimisha unataka usaidiwe nini
Maana hapo nilipambana na kumsihi HR aniombee kibali cha kuendelea kutumia check na kwa Katibu Mkuu Utumishi na alikubali japo bado naendelea kufuatilia lakini bado ninapambana na mishe za kitaa nazo ndiyo hivyo nikizichanga kiasi zinaibuka changamoto zilizo juu ya uwezo wangu napoteza kila senti ninaanza moja
Hizi aya mbili zinakinzana au?lete maelezo kisha hitimisha unataka usaidiwe nini