OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mnataka kukutana muanzishe chama cha waliorogwa sioMkuu naomba Kama hutojari nipigie tupige soga ww tunaendana vitu vingi
Mimi mwenyewe ni mwalimu nimeacha kazi baada ya kuona malipo hayaendani na mazingira niliyokuwapo Ila nilikuwa na mtaji wa Kama 10m ukapukutikia kwenye kilimo saivi nimekuwa nikiipambana Ila najikuta narudi Tena ground lakini sikati tamaa , matumaini nayaona mbele na hio Hali unayopitia nimewahi pitia na naipitia ukizingatia Mimi na watu wa nyumbani Sina sapoti yoyote so napambana navojua na kitu kingine clue nyingi za marafiki naopata naona hawana future kama niliyonayo na mm hivohivo kupoteza 500k kwa mwezi ni kawaida Ila ningepata mtu mwenye Nia ya dhati kutoboa ajira hazina maana yoyote
Ila ingekuwa ni mambo za kubinjuana ungeelewaUmeandika speed speed nmeshinda kukuelewa,
Sahv uko KAZIni, umeachishwa KAZI au ikoje?[emoji848]
Hamna mkuu[emoji4]Ila ingekuwa ni mambo za kubinjuana ungeelewa
hazikinzani zipo wazimwaka 2019 nikaomba tena ajira Serikalini na kupangiwa kituo cha kazi kwenye halmashauri tofauti na ile ya awali hivyo huko sikuambulia chochote zaidi ya kupoteza raslimali na Muda wangu.
Maana hapo nilipambana na kumsihi HR aniombee kibali cha kuendelea kutumia check na kwa Katibu Mkuu Utumishi na alikubali japo bado naendelea kufuatilia lakini bado ninapambana na mishe za kitaa nazo ndiyo hivyo nikizichanga kiasi zinaibuka changamoto zilizo juu ya uwezo wangu napoteza kila senti ninaanza moja
Hizi aya mbili zinakinzana au?lete maelezo kisha hitimisha unataka usaidiwe nini
umejuaje au upo na huyo ndugu yangu wa karibu kwenye chama kimoja?Umerogwa na ndugu zako wa karibu (umetupiwa / umerushiwa jini )
Tatizo lilikuwa la Kifamilia nilikuwa nauguza Mzazi wanguWewe hujashawishika na wazee wa Forever Living ukaacha kazi yako ya kwanza?
Tupe sababu ya kuacha kazi yako ya kwanza ili tujue tukusaidieje
Naomba niulize swali dogo tu,
Hivi umeoa? Kama jibu ni hapana basi hapo ndipo pa kuanzia,
Unajuwa mungu kuna mda anabeba baraka zako anazitua kwa mke au mtoto kwa walio oa nadhani watakuwa wananielrwa vizuri,
Yaani ukiwa kijana utahangaika ujuavyo lakini wapi kila unacho kigusa akisogei but unapoamua kufumba macho katika hali ngumu na ukaamua kuoa tu utashangaa baraka unazikimbia mwenyewe mpaka unakosa pa kuziweka, au umepata mtoto tu michingo inamiminika mpaka unajuta why sikuoa mapema ningekuwa mbali sana,
Lakini jambo la mwisho mkiwa wawili ndani ya nyumba kila mmoja anakuwa na mawazo tofauti ambayo mawazo hayo mkiyachanganya pamija basi mtapata kitu kipya/njia mpya ya kutatua makosa.
๐๐ง๐๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ซ๐ข๐๐ง๐ ๐ง๐ ๐ฆ๐ข๐ฆ๐ข ๐๐ฎ ๐ฎ๐ค๐๐ฉ๐ฎ๐ฎ๐ณ๐ข๐ ๐ฎ๐ฌ๐ก๐๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฌ ๐ฎ๐ฉ ๐ญ๐จ ๐