Nilikuwa na kesi na takukulu hukumu Yangu imetoka Jana nikahukumiwa kifungo Cha mwaka mmoja au kulipa faini nilicho kifanya nikalipa faini nikapewa zangu risiti nika bwaga cha kushangaza baada ya Kama masaa mawili watu wa Takukulu wananipigia Simu eti niende ofisini kwao nikashuhudie wanafunga file langukwkwa vigezo kwamba asije akatokea mtu mwingine akachukua file akanishtaki je wana Jf sheria inasemaje kuhusu hilo?
Je ningekuwa nimekwenda gerezani wangefungaje hilo file? Ushauri niende au nisiende?
Je ningekuwa nimekwenda gerezani wangefungaje hilo file? Ushauri niende au nisiende?