Haukuwa na mwanasheria? Ungemuambia wakili wako aende. Mie sitaki kabisa kukutana na hayo majambazi yanayovaa suti. Wanataka kukutoa upepo hao, file linakaa takukuru ama linakuwa mahakamani? Na kama haujapata hukumu iliyoandikwa bado utaenda na nini? waambie wakuandikie summons:hand:
Wanataka wakubabmbike kesi ya pili..... jamaa wana njaaa hao zaidi ya trafiki.