Ushauri wa kanuni bora za kilimo cha Migomba na Soko lake

Kumbe kilimo cha migomba nacho kina tija ukifuata kanuni. Uzi makini huu
 
HHabari,Mimi nahitaji watu wa kuwauzia ndizi na viazi mikoa ifuatayo,morogoro, dares salaam na singida...nipo mbeya hivyo nahitaji agents/wanunuaji kwa mikoa hiyo...no 0743185408
 




Mkuu Sabayi na wadau wengine wote,
Nimeona article hii hapa kwenye internet kuhusu zao la ndizi.
Inaweza kuwa ni mwomngozo mzuri kwetu, na kwa wengineo pia.
Asanteni.

Mkuu nakumbuka miaka ya Tisini mwanzoni tulikuwa na migomba nyumbani kwetu Dar na ilikuwa inakubali vizuri tu nahisi labda inahitaji sana Maji na ndo maana Tukuyu ambako mvua inanyesha sana hii migomba inakubali sana

Mu-Israeli nimeipenda article yako, ntaisoma tena na tena. imeeleza kwamba ndizi zinataka joto la kati ya 26-30 [SUP]0[/SUP]C.
 

Safi sana Mkuu. Mimi na wenzangu tumeanza mikakati ya kulima ndizi kule Kisarawe kwa kushirikiana na wadau wengine. Lengo letu ni kulibadilisha lile eneo, kwa uwezo wa Allah, liwe ni ukanda wa ndizi. Kwa kushirikiana na wadau tunataka mpaka miaka ijayo tuwe na ekari kama 300 hivi za migomba. Kwa kuanzia tunaanza na ekari kama kumi hivi.
 
Neo Safi
 
Naulizia jamani hivi wale wataalamu wa hiki kilimo bado wako humu??
Kama wamo ninaomba waufufue huu uzi ili tuliofata mawazo yao tuwape mlejesho jamani

Kuna pahala tunakwama tungependa mtupe ufafanuzi aseee
 
Kichana eti 500-400-300-200 ukikaa vibaya.
Ndiyo maana tunaambiwa tunatakiwa tufanye utafiti kabla ya kuanza kufanya jambo/kazi fulani na bei/gharama zikiwa ni kitu mojawapo cha kujua mapema kabla hujaanza. Kama wanajamvi walivyosema kwenye comments za mwanzo mwazo wa huu uzi, ni kwamba si kila aina ya ndizi ina bei nzuri. Lakini pia katika biashara yoyote ile huwa kuna msimu ambao bei huwa zinashuka kuliko misimu mingine hiyo ni kawaida katika biashara yoyote ile hapa duniani. Cha msingi ni kuangalia tu kama demand/uhitaji wa hiyo bidhaa bado utaendelea kuwa mkubwa katika kipindi kijacho kirefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…