Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku hizi vimerudi kwa kasi. ukiwa mpirani sokoine utasikia cd, cd. cd.Vibama....daaah nakumbuka mbali sana enzi za life iñ Rungwe District..
Mzuzu naupata sana..kuna aina nyingne ya mzuzu inaitwa mkonge wa tembo unaujua??inatoa ndizi kubwa sana na ndefu mno kuliko ndiz nyingne mkuu.nmeziona hapa kilwa natafuta hyo mbegu kwa udi na uvumba
ahsante kwa darasa
siku hizi hazitengenezwi. hapa Mbeya mjini misibani ni wali tukule kwetu majani ya migomba huwa tunatengenezea vijiko vya kulia kande tunaviita 'ndundu' huwa vinafaa sana kulia makande hususani msibani,migomba ina faida lukuki!
mkuu kwa bibi yangu ngujubwaje bado tunazitumia mwe bhana bha munjhini ihela ndo zinawapa jeuri maana siku hizi mnafungaga na maduka kabisa mshawaiga wakinga mnaacha asili yetu,rudini kwenye asili angetisyesiku hizi hazitengenezwi. hapa Mbeya mjini misibani ni wali tu
mambo ya vibama.Vibama....daaah nakumbuka mbali sana enzi za life iñ Rungwe District..
hahaa, hata lugha tunajidai hatujali, angetisye ndiyo ninashangaa? ila maswisa bado tunakula.mkuu kwa bibi yangu ngujubwaje bado tunazitumia mwe bhana bha munjhini ihela ndo zinawapa jeuri maana siku hizi mnafungaga na maduka kabisa mshawaiga wakinga mnaacha asili yetu,rudini kwenye asili angetisye
Kama peponi
niliona Rungwe ni ngumu kufanya kilimo cha biashara. ardhi ipo ndogo, bei kubwa na ya milimamilima. bei ni kubwa sana. eti eka 1.5 mtu alianzia 12m!. nilipata sehemu nyingine 3 acres ndiyo hiyo hapo juu. ni yakumwagiliaMkuu Red Giant tunaomba mrejesho wa mradi wako wa Rungwe. Vile vile naomba unifahamishe bei za mashamba huko zikoje na ni kwa kata zipi za rungwe.
Natanguliza shukrani
Poa poa Mkuu ngoja nijipange nikaangalie sehemu ya Kilima pianiliona Rungwe ni ngumu kufanya kilimo cha biashara. ardhi ipo ndogo, bei kubwa na ya milimamilima. bei ni kubwa sana. eti eka 1.5 mtu alianzia 12m!. nilipata sehemu nyingine 3 acres ndiyo hiyo hapo juu. ni yakumwagilia
magroup yenye faida watu wanayatafuta wenyew hawalazimishwKaribuni katika group LA telegram linalohusu kilimo na ufugaji... Click link kujiunga
Join group chat on Telegram