Ushauri wa kisheria kuhusu agency fees kwa watumishi

Ushauri wa kisheria kuhusu agency fees kwa watumishi

snboy

Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
75
Reaction score
14
Naomba kufahamu kama ni lazima kukatwa agency fee kwenye mshahara wa Mtumishi. Mfano walimu kukatwa 2% kila mwezi kwenye mshahara wao. Je ukijitoa kwann hyo 2% wanadai inaendelea kukatwa mpaka utakapojiunga na chama kingine ampapo tena utakatwa asilimia utakazokuta huko. Hii ikoje kisheria mnisaidie
 
Naomba kufahamu kama ni lazima kukatwa agency fee kwenye mshahara wa Mtumishi. Mfano walimu kukatwa 2% kila mwezi kwenye mshahara wao. Je ukijitoa kwann hyo 2% wanadai inaendelea kukatwa mpaka utakapojiunga na chama kingine ampapo tena utakatwa asilimia utakazokuta huko. Hii ikoje kisheria mnisaidie
Sio kweli weka kwanza swar vzur ,,maan kama walimu ,ukiwa tu mwalimu automatic unakuwa mwanachama wa chama cha walimu (CWT) ,Sasa huko kujitoa ndo umeniacha kidgo utajitoaje wakat automatic n member wa CWT?
ULISHAWAH ANDIKA REVOCATION LETTEr
 
Sio kweli weka kwanza swar vzur ,,maan kama walimu ,ukiwa tu mwalimu automatic unakuwa mwanachama wa chama cha walimu (CWT) ,Sasa huko kujitoa ndo umeniacha kidgo utajitoaje wakat automatic n member wa CWT?
ULISHAWAH ANDIKA REVOCATION LETTEr
Bado sijaandika hiyo revocation letter. Nilikua nataka kwanza niulize kisheria kama ukiandika hiyo letter kama hayo makato yanaweza kuondolewa. Maafisa wa cwt wanasemahata ukiandika watakufuta uanachama lakin hiyo 3% kwenye mshahara itaendelea kukatwa coz chama hua kinatetea walimu wote bila kubagua
 
Sio kweli weka kwanza swar vzur ,,maan kama walimu ,ukiwa tu mwalimu automatic unakuwa mwanachama wa chama cha walimu (CWT) ,Sasa huko kujitoa ndo umeniacha kidgo utajitoaje wakat automatic n member wa CWT?
ULISHAWAH ANDIKA REVOCATION LETTEr
Bado sijaandika hiyo revocation letter. Nilikua nataka kwanza niulize kisheria kama ukiandika hiyo letter kama hayo makato yanaweza kuondolewa. Maafisa wa cwt wanasemahata ukiandika watakufuta uanachama lakin hiyo 3% kwenye mshahara itaendelea kukatwa coz chama hua kinatetea walimu wote bila kubagua
 
Back
Top Bottom