isackjr
Member
- Sep 16, 2016
- 20
- 10
Habari wana JamiiForums,
Nilikuwa naomba ushauri wenu.
Kuna company nilipata kazi wakanipa mpaka mkataba nikasaini ila siku ya kuanza kazi haikupangwa kutoka na kutojua siku sahihi ya kufungua hiyo company.
Kilichokuja kutokea baada ya kuwatafuta sana kwenye simu na email bila majibu ikabidi niende ofisini kwao, nikashia nje bila kumuona HR walinzi walikataa kuniruhusu kuingia ikabidi nimtafute kwa simu akawa hapokei.
Akaja kupokea baadae baada ya kupiga sana kwa masaa zaidi ya manne, akaniambia walinitafuta kwa njia ya simu wakanikosa kazi wameshampa mtu mwingine.
Nilikuwa naomba ushauri wenu.
Kuna company nilipata kazi wakanipa mpaka mkataba nikasaini ila siku ya kuanza kazi haikupangwa kutoka na kutojua siku sahihi ya kufungua hiyo company.
Kilichokuja kutokea baada ya kuwatafuta sana kwenye simu na email bila majibu ikabidi niende ofisini kwao, nikashia nje bila kumuona HR walinzi walikataa kuniruhusu kuingia ikabidi nimtafute kwa simu akawa hapokei.
Akaja kupokea baadae baada ya kupiga sana kwa masaa zaidi ya manne, akaniambia walinitafuta kwa njia ya simu wakanikosa kazi wameshampa mtu mwingine.