Ushauri wa kisheria kuhusu umiliki wa mali

Muhubiri

Senior Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
140
Reaction score
120
Wanajamii, Salaam, Nahitaji ushauri wa kisheria , tumekubaliana na mke wangu kuwa yeyote atakaye kufa mali zote zinazobaki zinakuwa chini ya umiliki wake na kama akifa inabaki ni mali ya watoto na kama watoto nao wakifa inabaki kuwa mali ya kanisa lile ambalo tutakuwa mimi na mke wangu tumekubaliana, sitaki ndugu yeyote aguse mali yetu kuepuka usumbufu hasa kama mimi mume nimetangulia, nisaidieni hatua za kufuata kisheria kulikamilisha hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…