Ushauri wa kisheria kwa Mzazi mwenzangu

Duuh.. anakuona wewe ni muoga sana na hujiamnini..

Wanawake wenye fujo na matusi hivi ...ilikurudisha uanaume wako wanahitaji kipigo kimoja matata sana yani ukimpiga kisawa sawa akalazwa Hospital baada ya siku kadhaa akirufi nyumbani baada ya kuruhusiwa ..

lazima respect irudi atakuwa anakuheshimu na kukuogopa.. !!
Tofauti na hapo endelea kulea ujinga eti anakujia na kisu.. huyo anajitoa ufahamu..
Unatakiwa siku umbadilikie sana hadi haisi umechanganyikiwa..

Na baada ya hapo .. week mbili 3 mpige mzigo kisha achana naye mpe misimao yako kuhusu mtoto na aifuate acha kupangiwa nini cha kufanya hiyo ndio njia pekee ya kudeal naye..
Hapo hamtakuwa mnazinguwana..

Tofauti na hapo atakuharibia maisha ukicheka cheka nae na vikao vyako vya kila siku...
Inamaana huwezi kufanya maamuzi sahihi hadi uanze mavikao sio kilakitu nichakudiscuss na watu wengine hasa kama vinawahusu baba na mama...
 
Fanya umrudie umpige bakora za uhakika tuone kama hutapata amani.

Na huyo atakuwa mke wako wa pili usipoangalia vizuri. Hayo yote ni hasira tu.
weee bro una akili sana! una miaka mingapi kwani
 
Toa taarifa polisi ......
ili siku akiingia 18 zako unamchapa bara bara kwa Ku invoke self defense
Na ndio nilichofanya nimereport polisi hapa nina RB siku akijichanganya hana bahat sitachagua kitu cha kumpiga nacho[emoji21]
 
Mwanamke akiamua shetani huwa anakaa pembeni kujifunza, kuwa makini, maumivu uliyomwachia usichukulie poa
 
Mimi nina nyundo zangu 37 sema nimejifunza mengi kupitia uzoefu wangu wa maisha.
Kashemeji kako jack! Bana kanasumbua sumbua mara unaishi wapi siku hizi! leo nije mara ivi! mara katukane, mara jae kazini mwee! sasa nalegeza kamba rasmi.......
 
Si swala zuri kufikishana polisi au mahakamani na mwenza, lakini inapofikia tatizo limevuka mipaka hasa kufikia hatua yakutishiana mausha basi hunabudi kuchukua hatua zaidi ili kuwekasalama maishayako.

Kwasasa unapaswa kwenda polisi kwajili yakutoa taarifa juu ya vitisho anavyovitoa dhidiyako ili litakapotoea lolote basi aweze kuwajibishwa, pili hii inaweza kufanya aogope kutoatena vitisho kwani atajua fiki lolote litakalotokea yeye atawajibishwa.

Kuhusu mototo, sheria inaangalia sana usitawi wa mtoto mbali naumri pia swala la mazingira, nani anamlea mtoto nk. Nivitu vinavyotazamwa na mahakama ilikuweza kutoa tamko nani anapaswa kukaa na mtoto.

Hivyo basi, kama unahitaji kukaa na mwanao nenda mahakamani then wao watatoa order ili wewe ukae na mtoto.
 
Huu ushauri sio mzuri, kwasababu sheria zipo, tena kwa nchi yetu hutetea sana upande wa mwanamke... Usimshauri mtu hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…