Ushauri wa kisheria

Ushauri wa kisheria

Alex Katto

Senior Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
155
Reaction score
20
Nilinunua pikipiki then nikampa mtu kwa mkataba wa kuniletea elfu kumi kila siku na matengenezo ni yake, ila baada ya mwaka pikipiki inakuwa yake, lakini mtu huyu anaweza kukaa siku tatu ajaleta ela na akija analeta nusu, nataka nvunje mkataba.

Je sheria ipo kwangu au kwake?
 
Back
Top Bottom