Ushauri wa kitaalamu katika kujidhatiti kibiashara

mbeya

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
30
Reaction score
6
ninaomba ushauri wa kitaalam! ni jinsi gani ninaweza kuanzisha small industry ya kusindika maziwa ya ng'ombe na kuandaa (kupack) product zitokanazo na maziwa.
  • ni wapi ninaweza kupata mashine kwa ajili ya kazi hizo?
  • ni wapi naweza kupata utaalamu kwa shughuli hiyo? i.e jinsi ya kuandaa na kupack,jinsi ya kuchanganya preservative, jinsi ya kukagua maziwa yaliyowekwa maji, jinsi ya kuitangaza na kusambaza biashara hiyo
  • plan yangu nianze na lita 500 kwa siku.
  • je nahitaji initial cost kiasi gani kwa ajili ya kurun hiyo biashara
naomba kuwasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…