Kaka yangu amehamishiwa dodoma, ameniachia shamba la ekari zaidi ya 10 huko mkuranga (mwarusembe), nataka nifanye kilimo cha kisasa.
Shamba hilo lilikuwa pori kubwa tu but nimelifyeka tayari na kulisafisha lakini nimekosa mtaji wa kuendelea kununua mbegu, kupanda na mahitaji mengine ya ustawishaji.
1. Kwa mtu yeyote mwenye ushauri wa kitaalam naomba anipe A.B.C ya kilimo hiki coz nimedhamiria kujikita kwenye kilimo kweli kweli
2. Kwa yeyote mwenye mtaji na anatamani awekeze kwenye kilimo cha mihogo kwa ekari zaidi ya 10 asisite kunipm tufanye kilimo cha kisasa. Kilimo ni ajira
Natanguliza shukrani kwenu wanajf makini
Shamba hilo lilikuwa pori kubwa tu but nimelifyeka tayari na kulisafisha lakini nimekosa mtaji wa kuendelea kununua mbegu, kupanda na mahitaji mengine ya ustawishaji.
1. Kwa mtu yeyote mwenye ushauri wa kitaalam naomba anipe A.B.C ya kilimo hiki coz nimedhamiria kujikita kwenye kilimo kweli kweli
2. Kwa yeyote mwenye mtaji na anatamani awekeze kwenye kilimo cha mihogo kwa ekari zaidi ya 10 asisite kunipm tufanye kilimo cha kisasa. Kilimo ni ajira
Natanguliza shukrani kwenu wanajf makini