Ushauri wa kitaalamu tafadhari

Allam

Senior Member
Joined
May 4, 2013
Posts
142
Reaction score
9
Ndugu Wanajamvi Mie Ninayo Mashine Ya Kukoboa Na Kusaga Ipo Kijijini Kwa Siku Si Haba Inanipa Siyo Chini Ya Tsh.15000,naomba Msaada Wa Namna Ya Kuirasimisha Ili Niweze Kuiendesha Kibiashara Ili Niweze Hata Kupata Mkopo Kwenye taasisi Za Kifedha,napia Nimeanza Kufuga Wale Mbuzi Katoliki Kwa Sasa Wapo 9 Wa Rika Tofauti,shukran Kwa Mawazo Na Changamoto Pia Mtakazo Nipa.
 
Ungekuwa haufugi mbuzi katoliki ningekushauri uende halmashauri kwa afisa biashara akukatie leseni kisha tra, baada ya miezi michache unakopesheka benki, ila kwa kuwa unamfugo nashindwa kusema lolote kwa sasa.
 
Hongera kwa kushinda mawazo potofu yanayokwamisha maendeleo na yenye vikwazo vya mafanikio. Ngoja wajuzi waje mkuu!
 
Ungekuwa haufugi mbuzi katoliki ningekushauri uende halmashauri kwa afisa biashara akukatie leseni kisha tra, baada ya miezi michache unakopesheka benki, ila kwa kuwa unamfugo nashindwa kusema lolote kwa sasa.

Ndio tayari umemshauri hivyo.
 

saga mahindi weka kwenye viroba vya kg 25, weka nembo yako supply kwa wateja....fanya research ya market kwanza mjomba ....mbona umeanza vizuri kama una mashine yako mwenyewe.....panga kununua mahindi kwa wingi saga fanya packaging kwani kwa sasa madhone yako iko kijiji gani au mkoa upi
 
Je Hakuna Taratibu Za Kisheria Ili Kuweza Kufanya Branding?mahindi Siyo Shida Sana Npo Songea tteja....fanya research ya market kwanza mjomba ....mbona umeanza vizuri kama una mashine yako mwenyewe.....panga kununua mahindi kwa wingi saga fanya packaging kwani kwa sasa madhone yako iko kijiji gani au mkoa upi[/QUOTE]
 
Asante Nimepata Kitu Hapokuwa haufugi mbuzi katoliki ningekushauri uende halmashauri kwa afisa biashara akukatie leseni kisha tra, baada ya miezi michache unakopesheka benki, ila kwa kuwa unamfugo nashindwa kusema lolote kwa sasa.[/QUOTE]
 
Asante Kwa Pongezi231365]Hongera kwa kushinda mawazo potofu yanayokwamisha maendeleo na yenye vikwazo vya mafanikio. Ngoja wajuzi waje mkuu![/QUOTE]
 
Kwasasa Nadhani Bado Manake Hata Leseni Cnaeshi kibiashara?[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…