Foxhunters
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 160
- 108
Habari ya asubuhi wakuu,kwa mwenye uzoefu nimelima shamba ekali 3 za hatua 70*70
Nililima mapema sana mwezi wa 10 sasa majani yameota mengi sana kabla sijapanda mbegu kiasi kwamba nikipanda itakuwa hasara .
Nimeamua kuja na hiyo njia ya kupulizia kiuagugu Niue majanj ndiyo nipande mbegu.
Ushauri wa kiuagugu kizuri,kiasi cha dawa ya kutosha ekari 3 ,bei yake na muda gani unafaa kupanda mahindi baada ya kupulizia Shamba lipo kibondo-kigoma
Nililima mapema sana mwezi wa 10 sasa majani yameota mengi sana kabla sijapanda mbegu kiasi kwamba nikipanda itakuwa hasara .
Nimeamua kuja na hiyo njia ya kupulizia kiuagugu Niue majanj ndiyo nipande mbegu.
Ushauri wa kiuagugu kizuri,kiasi cha dawa ya kutosha ekari 3 ,bei yake na muda gani unafaa kupanda mahindi baada ya kupulizia Shamba lipo kibondo-kigoma