Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Kule hawatambui elimu yenu ataanzie chinimpeleke USA bado na sisitizia akasome vyuo vya huko. tena injini za ndege
Hata kama amefanya vizuri haizuiliwi pia kuomba ushauri.Kweli mtu apate ufaulu mkubwa huo na hajui cha kwenda kusoma,tuna shida mahali
Hii inatolewa chuo gani nduguCyber security.
Usiwe na makasiriko ndugu!Amekuja kutuoshea mwanaye kapata One kali.
😂😂😂😂😂😂😂
Mi mwenyewe telecom michongo kibao ipoA jichanganye na telecom aite maji mma
UdomHii inatolewa chuo gani ndugu
TelecomMi mwenyewe telecom michongo kibao ipo
Ok vipi kwa telecom unanishaurijeUdom
Nipe mchongo basiMi mwenyewe telecom michongo kibao ipo
Unajua nini kwenye telecom?Nipe mchongo basi
Telecom na electronics ndio dunia ilipo sasa hivi nashangaaga wabongo wanavyosemaga telecom haina mchongo tatizo wanahisi telecom ni minara tu.Telecom
Ok vipi kwa telecom unanishaurije
Asome electrical au electronics and telecom asitoke nje ya hapo
Electrical kibongo bongo ni nzuri sana kuanzia ajira mpaka kujiajiri
Electronics and telecom ni nzuri sana pia maana ndio dunia inapoelekea teknolojia yote imelala hapa ni yeye tu ashindwe kuwa creative, lastly ni rahisi sana kujiajiri.
Achana na mambo ya civil kila mtu siku hizi ni civil alafu ni ngumu kuonyesha creativity yako.
software engineeringElectrical & electronics engineering
Hii nzuri pia akiiva atakula shavu sanasoftware engineering
Ila mpaka anapata AAB kwa PCM na hajui cha kusomea huyo ni mwizi wa mitihani
Telecom na electronics ni kozi moja au mbili tofautiTelecom na electronics ndio dunia ilipo sasa hivi nashangaaga wabongo wanavyosemaga telecom haina mchongo tatizo wanahisi telecom ni minara tu.
Kozi moja hiyoTelecom na electronics ni kozi moja au mbili tofauti
MECHANICAL ENGINEERING UDSM 🤣🤣🤣🤣 NO WAY MKUUMechanical engineering pale UDSM itamfaa. Pia muulize yeye anataka nini lazima alikuwa na malengo yake.