Ushauri wa kozi ya kusoma

Ushauri wa kozi ya kusoma

Sera ya CCM ni kufaurisha,siku hizi watoto wanafaulu wengi kama sisimizi.shule nyingi hizo dvsn 1 zipo kama njugu.
Pamoja na huo ufaulu anawza akakosa chuo cha maana
 
Asome electrical au electronics and telecom asitoke nje ya hapo

Electrical kibongo bongo ni nzuri sana kuanzia ajira mpaka kujiajiri

Electronics and telecom ni nzuri sana pia maana ndio dunia inapoelekea teknolojia yote imelala hapa ni yeye tu ashindwe kuwa creative, lastly ni rahisi sana kujiajiri.

Achana na mambo ya civil kila mtu siku hizi ni civil alafu ni ngumu kuonyesha creativity yako.

Electrical & electronics engineering
software engineering

Ila mpaka anapata AAB kwa PCM na hajui cha kusomea huyo ni mwizi wa mitihani
 
Angalia wapi una connection kwenye ukoo wako ..... hata ualimu kapige kama kinnection imeangukia huko
 
Back
Top Bottom