miss username
Member
- Mar 30, 2013
- 78
- 28
Nahitaji
mtaji kiasi gani ili kufungua duka la kawaida la kuuza bidhaa za
mahitaji ya kila siku kama mchele, sukari, sabuni nk (maduka kama yale
ya kina mangi)
Pia nauliza faida na hasara za maduka ya namna hii kwa wenye uzoefu nayo.
mtaji kiasi gani ili kufungua duka la kawaida la kuuza bidhaa za
mahitaji ya kila siku kama mchele, sukari, sabuni nk (maduka kama yale
ya kina mangi)
Pia nauliza faida na hasara za maduka ya namna hii kwa wenye uzoefu nayo.