OBD Mwenyewe
Member
- Dec 10, 2017
- 14
- 3
Khaaàaaa simshauri kbs ,hii bank inamakato sijapata onaCRDB
CRDB kweli ina makato makubwa mno, banki nafuu isiyokuwa na makato ya kipuuzi ni NBC tuKhaaàaaa simshauri kbs ,hii bank inamakato sijapata ona
Asante sanaNenda NMB, NBC au hawa (FNB kama kipato au deposits zako zitakuwa around laki moja na kuendelea FNB saving a/c ukiwa na over laki moja ni free hakuna fee zozote below 100,000/= fee 1,300 tsh per month kwangu hawa ndo most efficient)
Nenda CRDB kama utakuwa unaweka za zaid na million na kuendelea makato yao sio ya nchii na hali za kiuchumi za wanatz jamani