mangosongoo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 256
- 463
Nifanye mm niwe mpishi wako,hutojutaNaitaji kufungua mgahawa sehemu mbili tofaut maeneo ya mlugalinza na Mawasiliano karibia na chuo cha wanafunzi Wa sheria sina uzoefu sana na hii kitu na mtaji upo wa kujitosheleza naomba kujua risk zozote za hii biashara..au mawazo yeyote kutoka kwenu ...!!!