mangosongoo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 256
- 463
Naitaji kufungua mgahawa sehemu mbili tofauti maeneo ya Mlogalinza na mawasiliano karibia na chuo cha wanafunzi wa sheria sina uzoefu sana na hii kitu na mtaji upo wa kujitosheleza.
Naomba kujua risk zozote za hii biashara au mawazo yeyote kutoka kwenu.
Naomba kujua risk zozote za hii biashara au mawazo yeyote kutoka kwenu.