buyoya419
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 618
- 498
Habari zenu,
Nataka nianze kujenga ila mdogomdogo.
Kuna ramani nitaituma hapo ndio nataka nyumba yangu iwe hivyo ila nitaanza na chumba kimoja kimoja mpaka inaisha.
Lengo langu ni kujenga msingi kwa wakati mmoja ila kupandisha juu nitaanza na chumba kimoja kimoja.
Wataalamu nataka nifahamu gharama ya kuhudumia msingi mpaka ukaisha tofari ngapi zinahitajika, cement n.k
Nataka nianze kujenga ila mdogomdogo.
Kuna ramani nitaituma hapo ndio nataka nyumba yangu iwe hivyo ila nitaanza na chumba kimoja kimoja mpaka inaisha.
Lengo langu ni kujenga msingi kwa wakati mmoja ila kupandisha juu nitaanza na chumba kimoja kimoja.
Wataalamu nataka nifahamu gharama ya kuhudumia msingi mpaka ukaisha tofari ngapi zinahitajika, cement n.k